Makapuku Forum

Asante kwa tetesi za Usajili.
 
Wakuu leo ni sikukuu hivyo ni vizuri tujumuike na familia zetu zaidi, wale wa kipika tulieni mpike mapochopocho,wale wa kulewa tulieni tu mlewe,wale wa viwanja nendeni tu mkajirushe

Mimi kama binadamu mpenda starehe lazima ninywe,niende kiwanja kijirusha n.k hivyo leo hata segment zangu sidhani kama zitakuwepo
Sikukuu kwanza.....mengine hata kesho yatakuwepo
Eid Mubarak wadau
.........
 
Eid Mubarak
 
 
Same to u
 
Ngoja nipande juuu huko nitafute story sijui kivuruge wangu kaweka

Nilikua huko kumjua mwizi wa jf wa kiume anayetapeli watu jf hii jaman tuweni makini na kuzoeana na watu inasikitisha sana
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…