Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hii serikali kiboko haitaki kupigwa
Kila anayewapinga kwao anakiwa adui yaani wanataka tu ndiooooooo
TLS waliitishia lakini ipo inadunda
NDO's nazo wanazotishia
Wafanyakazi wanatishiwa
Wafanyabiashara wanatishiwa
Wanasiasa wanatishiwa
Wasanii wanatishiwa

Sasa sijui wakati wa Uchaguzi watapogiwa kura na mbuzi? au wanategemea wakulima wasio na elimu wala kujua yanayoendelea nchini
.
.
.
Ahsante kwa magazeti
Eid Mubarak
......
Minal Aidina walifaizin Sheikh..
 
8bcaeb3caccde86848ca40770a445daa.jpg
jiji la Bashite
Maajabu ya Joto City!
........
 
Hii serikali kiboko haitaki kupigwa
Kila anayewapinga kwao anakiwa adui yaani wanataka tu ndiooooooo
TLS waliitishia lakini ipo inadunda
NDO's nazo wanazotishia
Wafanyakazi wanatishiwa
Wafanyabiashara wanatishiwa
Wanasiasa wanatishiwa
Wasanii wanatishiwa

Sasa sijui wakati wa Uchaguzi watapogiwa kura na mbuzi? au wanategemea wakulima wasio na elimu wala kujua yanayoendelea nchini
.
.
.
Ahsante kwa magazeti
Eid Mubarak
......
Pamoja sana bitoz
 
5605f6681680215a13a662bc0aec1b23.jpg



Mchezaji wa Kimataifa na kipenzi cha wana-Simba wengi Emmanuel Okwi leo amesaini rasmi kandarasi ya miaka miwili kuichezea klabu ya Simba.



Akisaini kandarasi hiyo mbele ya makamu wa Rais Geofrey Nyange 'Kaburu', Okwi ameahidi kuhakikisha anapambana akishirikiana na kikosi kizima cha Simba kuhakikisha Simba inafanya vizuri kwenye ligi kuu na hata kwenye mechi za kimataifa.

'Ahadi yangu ni kwamba nitashirikiana na wachezaji wenzangu kuhakikisha tunawapa furaha wana-Simba wote kwa kupata matokeo mazuri katika michuano yote klabu ya Simba itakayoshiriki' alisema Okwi alipoulizwa na na Simba News kuhusiana na ahadi yake kuelekea msimu ujao.
Hongera
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom