Alikuzuga tuYaani wewe kila mwanamke hapa unasingiziwa?
Sasa kuna siku nilikuwa napiga sound kwa malikia ...ananiambia unataka ugomvi na Balozi Bitoz..
Baada ya hapo nikala zangu kimyaaa
Kama umesema sasa hapo sawa, maana ulisema tunamakusudiKwani mi nimesema sio mpendwa wangu?!
Binamu me nimechoka kila siku nikuelekeze
Hongera mkuuMatokeo ya mechi za leo yakoje wadau
Baba D weweeeeeehBinamuuuuuuuuuuuuuuu
hii kituuu nomaaaaaa...
...yangoyoooo...elookooo .....ototomeeee....
Ngonga ango ya ngoyo....
Ya ngoyo...
Ngonga ango ya ngoyo
Ya ngoyo...
Tango ya ko loba oh ya ngoyo
Eloko oyo eleki diamant ya ngoyo
E somba ba mituka oh Eloko oyo
E somba ba lopango oh Eloko oyo
Poto pé mikiloh pè na Eloko oyo
Eloko yango nini eh Miziki
Eloko yango nini eh Miziki
Na lela oh bisso oyo......
Ba kolo Mbonda oh bisso oyo
Na lela ooh bisso oyo......
Ba kolo Mbonda oh bisso oyo....
Haa sawaArusha wapii entertainment huko kwenye mastory
Hongereni jamaan mtu na binamu yake vidumeeeeeBhinamu ebu kuwa siliasiiii bhasiiii ...ulivonichuniaa pale nkajitoaa ufahamu si unajua tigo yako ulisahau kwenye ile jaketiii niliyokukwapuaa na baridiiii...si nikaitiaaa eti kuitiaaa ...nimeweka on kwenye kinokiaa ntintitiiiii mara sms naiona mama K nkafikiriaa yupiiii ...kuisoma anauliza ile kuku uliyosema akaushee huendiii....nkajitosa mpaka ndanii...nimesema umeitwa kikazii ila alikuwa mtamu..
Yule wa wigi wee achaa si nilivopita kwa mangii nkakuta katundika wigi sijui ndo yeboyeboo tena beii cheeee nkaziweka kwenye mfuko kupelekaa et yeye ana zake special sijui roseeee nini
Hilo jukwaa huwa ni nadra sana kulitembeleaArusha wapii entertainment huko kwenye mastory
Aiseee yote yake hayo...pedeshee mutu ya watu, muzee ya peremende, muzee ya kugawa cheni za goldna silver mutamu ya batoto bazuribazuri
SijajuaNi couple hao?!
Wangu hata sijui unasukuma nini shemelaAisee, moyo kazi yake kusukuma damu
Nakupendaa jomooooooon umechaguaa wimbo mtamu kama wewwBinamuuuuuuuu
Asante sana umeufanya usiku wangu kuwa mzuri naipenda sana hii nyimbo acha nikupe mauwa binamu yangu mimi
Loh! Nyiee watu mbona mna makubwa hivyo?! Chaa!!Hapo umeshika glass ya Chateau Mouton-Rothschild wine matata kabisa ikiwa imetunzwa huko Pareees
Yaani wewe kila mwanamke hapa unasingiziwa?
Sasa kuna siku nilikuwa napiga sound kwa malikia ...ananiambia unataka ugomvi na Balozi Bitoz..
Baada ya hapo nikala zangu kimyaaa
Weweee mambo yako maliza wewee ...mda wa kupumzika na wifiii hapaaaHebu muite dada...
I need to talk to her...! Afu simu ya Halotel sijui kaweka wapi ...haipokelewi
Usije kushangaa shemelashemela ni nini lakiniiii