Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,049
Mkuu tafadhali acha kulalama mbona likes unapata za kukutosha!!.Comrade hata ile dhana ya makapuku forum inaondoka sasa, ukifuatilia utaona kuna makapuku G3 HT na wale 2G G ukiwa hii ya pili like upati maybe ukipata basi umewakuna.
, Ona hii.
Yah uko right Bby lakin we should look forward without forgetting positive /negative za ideas zetu mwsho wa siku tusijelizana....My My Nakuaminia sana ebu tupia idea yako na wewe unajua tupo wengi sana Mumy kiasi kwamba tukisema hata tucheze kibati yaani kila siku jioni tunamrushia mtu mmoja elfu 1 tu..Na wakipatikana watu waaminifu ni mtaji tosha kabisa wakulima matikiti..
Poa brotherNaunga mkono pendekezo hili pia na liweke kwenye list maana wewe ndiyo Katibu kwenye kikao hiki na mwenyekiti ni jambilo .Then utakuja kutuwekea mawazo yote mezan....tuite watu wengi kwa kadiri tuwezavyo waje wachangie tuone nini kitatokea mkuu...
Tatizo unafunga cm mapema nami kwa sasa naibia kupost bado nko mjin kati ci wajua fuja za kwetu!Kabisa mkuu namimi pia huwa siogopi kujaribu..Kwa kitu ninacho amin kikienda kama kilivyo napasua huwa naruka nazo...
Not fair
Nimetest kwa Ngedere Ungabu LIKE YA 7 imekubali zen nimeifuta zimebaki 6
..............
Uko sawa sana Mumy kwani uaminifu siku hizi umekuwa ni changamoto sana japo nadhani kupitia dhana hiyo basi na watu wakipatikana wa kutosha wanaweza anzisha kitu hata kwa wale watu wanaoishi mkoa mmoja ama mikoa iliyo karibu mfano watu wanaishi Arusha na Mosh kwa pamoja wanaweza anzisha kitu then ikawa ni walikutana kupitia KAPUKU's Forum mpaka wakaweza anzisha ishu inayoonekana....Yah uko right Bby lakin we should look forward without forgetting positive /negative za ideas zetu mwsho wa siku tusijelizana....
Back to your idea serious siwez kumuamin mtu nsiyemfaham kwenye swala LA pesa... Hiyo kwangu ni big NO
Sorry but ndio msimamo wangu...
Mkuu msemaji wa shirika lolote anavaa uhusika wa mwenye mali.Mkuu tafadhali acha kulalama mbona likes unapata za kukutosha!!.
HahaMkuu tafadhali acha kulalama mbona likes unapata za kukutosha!!.
Hili wazo pia ni zuri sanaNi wazo zuri sana nadhani kwa wingi na umoja wetu tunaweza tukaanzisha kitu kama SACCOS na ikakuwa kwa kasi sana kama watapatikana watu ambao ni committed na waaminifu...Then kupitia SACCOS hiyo ikatengenezwa katiba maridadi kabisa ambayo itakuwa inatoa muongozo na sheria za uendeshaji pamoja na jinsi gani inaweza kusaidia watu..Hakika umoja huu wa kapuku utakuwa umefanya kitu cha kihistoria kupitia JF...CC jambilo
Simo nasema sinoHahaha ungabu bana na wenzake sio watu wazuri kabisa
Crazy you
Nimekupa like ya 6 tuona kama watafutaMkuu leo umeshatoa ngapi?? Tuanzie hapo kwanza
Najua mkuu...Si unajua tukifika hme huwa tunaanza kuwabembeleza watoto..Ila nitajitahidi kuwa online kwa mda leo..Tatizo unafunga cm mapema nami kwa sasa naibia kupost bado nko mjin kati ci wajua fuja za kwetu!
Imagine vile wanavyotubania lakini bado tu kwenye top 10 tunashine mbayaaa
Upo clearlyYah uko right Bby lakin we should look forward without forgetting positive /negative za ideas zetu mwsho wa siku tusijelizana....
Back to your idea serious siwez kumuamin mtu nsiyemfaham kwenye swala LA pesa... Hiyo kwangu ni big NO
Sorry but ndio msimamo wangu...
Ofcourse watafuta wasifute wananiogopa?? Ila guess what??? Bado tunashine vibayaaaaNimekupa like ya 6 tuona kama watafuta
Hata mi simoooSimo nasema sino
.............................
Itakuwa poa sana mkuuNajua mkuu...Si unajua tukifika hme huwa tunaanza kuwabembeleza watoto..Ila nitajitahidi kuwa online kwa mda leo..
Jimena Social media iko na faida kubwa mno ya kwanza ni kukutanisha watu..Hiyo yenyewe tu ni fursa kubwa sasa hapa tumeshakutana na tupo wengi sasa tunatumiaje huu urafiki wetu kama KAPUKU's? Nadhani tunaweza kuja na idea nzur sana ambayo chimbuko itakuwa hapa...Hili wazo pia no zuri sana