1982 - Kevin Nolan anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Bolton, Newcastle na West Ham.
Katika timu zote hizo alizocheza katika Ligi Kuu amekuwa kepteni wa hizo timu huku akiwa na kocha wake Sam Allardyce " Big Sam " katika timu zote hapo juu.
Kwasasa anacheza soka katika madaraja ya chini England.