BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
SanaaaMmh Mama ndio furaha ya mukongo leo![]()
SanaaaMmh Mama ndio furaha ya mukongo leo![]()
Ha hahahahhaha! Umekula lakini? Maana leo unahasira na siwezi kukujaji yaweza kuwa ni njaa au uko kwenye siku zako

Sure, ila Ijumaa usiifanye kuwa ngumu sana, it is Furahiday for God's sake not monday don't make things complicated. Only obnoxious people are allowed to make this day harder, you are not one of them.
Ukiitwa Husna wa Obe hupotezi kitu kama mimi nikiitwa Obe wa Husna sikupati kama hujataka nikupate.
![]()
nakuonaaaa unarembuaaa au ushagongA balimi?sijui kwa Kiswahili wanaitwaje, nawajua kwa kilugha changu tunawaita Balabhapu
ni lugha gn hiyoo?!...hiki kinywaji nachokunywa na muziki unaovurumishwa hapa lazima uongee ung'eng'e, kuna vinywaji huwa havidanganyi

Mi Niko poaWakuu mko poa
Tuko poa karibu mkuuWakuu habar? Mko fresh
Haya ishaingia tiariNilijua haijaenda nikasalimia mala ya pili ndo imeenda sasa ilivyoenda ndo nipo hapa naisubiria subiria iingie![]()
TupooBitoz
Jimema
Shululu
Tumosa
Nyagei
Quigley
Clkey
Shunie
Lee empire
Musollin5
Shedede
Husna Muba
BlessedHope
Sakayo wa T
Shimba ya Bunenze
Obe
Werasson
Mkubhi
Mondray
Demi
SDG
Ukhty
Madame S
Nimewamiss wakuu..nani sijamtaja...?
Nawe piaMoth kwa kiswahili anaitwa nondo
Sijajua kama ni cha TUKI au magumashi
Tukutane kesho
Usiku Mwema
........
KaribuuHivi makapuku manake nini nataka kujiunga nanyi tu
Miss you too mkuuBitoz
Jimema
Shululu
Tumosa
Nyagei
Quigley
Clkey
Shunie
Lee empire
Musollin5
Shedede
Husna Muba
BlessedHope
Sakayo wa T
Shimba ya Bunenze
Obe
Werasson
Mkubhi
Mondray
Demi
SDG
Ukhty
Madame S
Nimewamiss wakuu..nani sijamtaja...?
1 SAMWEL 25
Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu BWANA MUNGU wa Majeshi asante kutufikisha umbali huu,umetulinda mchana kutwa umetuepusha na hatari mbalimbali na ajali mbalimbali ,BABA tunaomba tusamehe yote tuliyotenda kwa mawazo,maneno na matendo kwa kukusudia au kutokusudia..tunawasamehe wote waliotukosea ili tuweze fanya toba ya kweli maana BABA tunakiri udhaifu sisi ni watu tu kuna wakati tunaghafilika..nyoosha mkono wako BABA uturehemu twakusihi BABA mwema ili tuende vitandani tukiwa salama na amani toka kwako.Asante kwa kuwa unatusamehe kila iitwapo leo.

Karibu mkuuHivi makapuku manake nini nataka kujiunga nanyi tu
Mama usimfanyie hivyo binamu mpe hata uwa moja basi me nadhamini mama kumpa uwa binamu
woiiiiiiiiiSanaaa

1 SAMWEL 25
6.Na hivi ndivyo mtakavyomwambia huyu aishie salama,Amani iwe kwako,na amani nyumbani mwako,na Amani kwao wote ulio nao
Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu BWANA MUNGU wa Majeshi asante kutufikisha umbali huu,umetulinda mchana kutwa umetuepusha na hatari mbalimbali na ajali mbalimbali ,BABA tunaomba tusamehe yote tuliyotenda kwa mawazo,maneno na matendo kwa kukusudia au kutokusudia..tunawasamehe wote waliotukosea ili tuweze fanya toba ya kweli maana BABA tunakiri udhaifu sisi ni watu tu kuna wakati tunaghafilika..nyoosha mkono wako BABA uturehemu twakusihi BABA mwema ili tuende vitandani tukiwa salama na amani toka kwako.Asante kwa kuwa unatusamehe kila iitwapo leo.
BABA tunakualika usiku wa leo tuma malaika wako walinzi watuzingire,watulinde,tuzingire na ukuta wa moto wa damu ya Yesu,utukumbatie kama kuku anavyokumbatia vifaranga vyake.
Usiku waleo endelea kutuponya mioyo iliyopondeka,magonjwa,dhiki,taabu na kukata tamaa..tusaidie tuzidishe upendo kwa wale tunaodhani ni maadui wetu ili tuweze kuuona ukuu na utukufu wako
Asante Baba maana utatupa kushinda,utatuamsha salama na tutakutana tena kesho mahali hapa tukiwa tumeachilia mambo yote ya leo kesho iwe siku mpya na ya kukupendeza
Tunaomba yote katika jina la Yesu Mpatanishi na mwokozi wetu Amen Asante
MUNGU ANATUPENDA SANA,NAMI NAWAPENDA SANASANA MBARIKIWE USIKU MWEMA MAKAPUKU WOTE![]()
![]()
![]()
na kwako pia mamaPole sana mkuu Mungu yu mwema umepona,uempeleka polisi?au umempiga tuWadau, simu yangu imenusurika kuporwa mida hii. Namshukuru Mungu mwizi nimelala naye mbele mpaka nikamkamata.