Makapuku Forum

Makapuku Forum

Siamini ushirikina wala nini
Nikienda vijijini sibabaiki nalala uzingizi bila hofu hata kwenye kajumba ka nyasi
Wengi wenye hofu ya uchawi ukiqachunguza utagundua matendo yao ni machafu(mwezi,wazinzi,wagomvi n.k)
......
Sawa ni msimamo mzuri sana kwa imani tunayashinda yote ila uchawi upo

KUTOKA 7

8.BWANA akanena na Musa na Haruna ,akawaambia.

9.Farao atakaponena nanyi,na kuwaambia ,Jifanyieni miujiza ndipo utakapomwambia Haruni ,Shika fimbo yako ,uibwage chini mbele ya Farao,ili iwe nyoka .

10.Basi Musa na Haruni wakaingia kwa Farao wakafanya hivyo kama BWANA Alivyowaambia ;Haruni akaobwaga fimbo yake chini mbele ya Farao ,mbele ya watumishi wake ikawa nyoka.

11.Ndipo Farao naye akawaita wenye akili na wachawi na hao waganga wa Misri wakafanya vivyo kwa uganga wao.

12.Wakabwaga chini kila mtu fimbo yake nazo zikawa nyoka lakini fimbo ya Haruni ikameza fimbo zao.

13.Moyo wa Farao ukawa mgumu asiwasikilize kama BWANA alivyonena.

H ESABU 23

23.Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo wala hapana uganga juu ya Israel.

HESABU 24

1....hakwenda ..ili kutafuta uchawi....


1 SAMWEL 15

23.Kuasi ni kama dhambi ya uchawi......



2 WAFALME 17

17.Wakawapitisha watoto wao ,waume na wake ,motoni ,Wakapiga ramli wakafanya uchawi...wakajiuza nafsi zao wapate kufanya yaliyo maovu machoni pa BWANA ,hata kumkasirisha


Y apo maandiko mengi yanayothibitisha uchawi upo,tunapaswa kumshika sana Mungu na kumuomba Mungu kutuepusha na mambo haya.

Shalom
 
Sure, ila Ijumaa usiifanye kuwa ngumu sana, it is Furahiday for God's sake not monday don't make things complicated. Only obnoxious people are allowed to make this day harder, you are not one of them.

Ukiitwa Husna wa Obe hupotezi kitu kama mimi nikiitwa Obe wa Husna sikupati kama hujataka nikupate.

giphy.gif
 
Sawa ni msimamo mzuri sana kwa imani tunayashinda yote ila uchawi upo

KUTOKA 7

8.BWANA akanena na Musa na Haruna ,akawaambia.

9.Farao atakaponena nanyi,na kuwaambia ,Jifanyieni miujiza ndipo utakapomwambia Haruni ,Shika fimbo yako ,uibwage chini mbele ya Farao,ili iwe nyoka .

10.Basi Musa na Haruni wakaingia kwa Farao wakafanya hivyo kama BWANA Alivyowaambia ;Haruni akaobwaga fimbo yake chini mbele ya Farao ,mbele ya watumishi wake ikawa nyoka.

11.Ndipo Farao naye akawaita wenye akili na wachawi na hao waganga wa Misri wakafanya vivyo kwa uganga wao.

12.Wakabwaga chini kila mtu fimbo yake nazo zikawa nyoka lakini fimbo ya Haruni ikameza fimbo zao.

13.Moyo wa Farao ukawa mgumu asiwasikilize kama BWANA alivyonena.

H ESABU 23

23.Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo wala hapana uganga juu ya Israel.

HESABU 24

1....hakwenda ..ili kutafuta uchawi....


1 SAMWEL 15

23.Kuasi ni kama dhambi ya uchawi......



2 WAFALME 17

17.Wakawapitisha watoto wao ,waume na wake ,motoni ,Wakapiga ramli wakafanya uchawi...wakajiuza nafsi zao wapate kufanya yaliyo maovu machoni pa BWANA ,hata kumkasirisha


Y apo maandiko mengi yanayothibitisha uchawi upo,tunapaswa kumshika sana Mungu na kumuomba Mungu kutuepusha na mambo haya.

Shalom
 
Muziki: Siku Rahisi, Smile.

Ninachoweza kusema ni kimoja tu, kwa wale mnaofanya kazi Mon-Fri hongereni sana na leo ndo mwanzo kabisa wa wikend. Ijumaa tunakutana tena hapa kabla ya kuamua Jmosi na Jpili tutafanya nini. Leo tunaburudika.

Siasa ni maisha, utaikuta kila mahali hata chumbani kuna siasa zake, siasa za chumbani. Wakati mwingine utahitaji kufanya propaganda ili tu siasa za chumbani ziweze kufanikiwa kitandani. Hongera sana kwa mlioweka makochi chumbani, nyie siasa zenu ni za karne ijayo.

Nimekaa tu hapa mtaani karibu na ninapojificha, well, mshahara ndo wiki yake hii na tayari bajeti nishaipiga na nakisi ndo nayoiteketeza muda huu. Karibu ujifiche, kinywaji cha kwanza juu yangu, kinachofuata ni juu yako.

Mara zote nimekuwa nikisema humu, muziki ni furaha, muziki ni upendo, muziki ni siasa, muziki kwa ufupi ni maisha. Muziki ni zaidi ya soka, muziki una lugha yake inayokubalika na masikio ya wenye masikio hata kama hawawezi kuchakata maneno yakaleta maana. Huo ndo muziki, usipatwe na jinamizi.

Tumwangalia Carlos Santana, gwiji wa gitaa la nyuzi sita ambaye huchanganya mapigo ya Ulatin, USA na Africa na hivyo kumfanya kuwa mpiga gitaa maarufu kabisa anayeishi. Alivutiwa sana na upigaji wa mkali BB King. Santana ana tuzo zaidi ya 10 za Grammy pamoja na nyingine nyingi.

Tumwangalie hapa clip ya YouTube akicharaza gitaa lake kwa uzuri kabisa


NICE R & B,VIVA MARIA SANTANA..ASANTE OBE....UKWELI MUZIKI NAUPENDA UBARIKIWE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom