Makapuku Forum

Makapuku Forum

5/Cat
9d630a7acd05fe7873fb99d9d78058fb.jpg
26b7f307e90fe5612cea6f84437bd95d.jpg
Ni kweli paka ana roho 7 ? Sijui
Ni kweli paka mweusi Ni Mchawi ? Sijui
Paka hufugwa kwa ajili ya pambo pia kukamata panya japo kuna paka mabishoo kula kulala tu
Ana uwezo wa kusikia sawa na mbwa
Yaani 45Hz hadi 64 KHz
.....
Paka hutumia zaidi ya 60% ya muda wake kwa KULALA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom