Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,906
Sijui shemela sijamuona siku mbili hizi wenye no zake wamuulizeShemela hivi Nyagei yuko wapi
Sijui shemela sijamuona siku mbili hizi wenye no zake wamuulizeShemela hivi Nyagei yuko wapi
Wee kuwa makinii akipata wanaompa full inakula kwakoo![]()
kila MTU ana staili yake ya utoaji
![]()
Nadhani umekosea jukwaa!Tafasiri au maana ya neno "Kapuku" ni ipi?
Tafuta msamiati au neno lingine kuwakilisha hili chama.
Siamini ushirikina wala niniNadhani anatumika vibaya kwenye nguvu za giza na watu wanaojaribu kushindana na nguvuvza Mungu
Pole mkuuWadau, simu yangu imenusurika kuporwa mida hii. Namshukuru Mungu mwizi nimelala naye mbele mpaka nikamkamata.
Wee kuwa makinii akipata wanaompa full inakula kwakoo
akipata ndio vizuri![]()
eti ye ananiita"husna Wa obe" ndio namwambia ili asiniite tena
Hahahaa.mzima. ikiwa kweli utajipigga BANN????Aisee isiwe kweli ninavyodhani mzima lakini Tetra
Kama kawaida yetu , tunaiambia jamii kwa Yale mazuri wayatendao na kuwapongeza kwayo , lakini pia hatuko nyuma kuirekebisha jamii juu ya mabaya yake hadi ibadirike na kufanya mazuri bila kuionea aibu, lakini hatuko nyuma kuishauri jammii yetu wapi wafanye na wapi warekebishe.

Potezea! Ushaziona siku zako? Kimbelembele tu. Aaaargh!
Asante.Ahsante kwa nyongeza
.....
Mpaka kakutemeshaa ung'eng'Sure, ila Ijumaa usiifanye kuwa ngumu sana, it is Furahiday for God's sake not monday don't make things complicated. Only obnoxious people are allowed to make this day harder, you are not one of them.
Ukiitwa Husna wa Obe hupotezi kitu kama mimi nikiitwa Obe wa Husna sikupati kama hujataka nikupate.
![]()
AmaniLeo ulikuwa mwendo wa kuchungulia humu ndani ....lakin niko poa hope kwa wote
Wapi huko?Wadau, simu yangu imenusurika kuporwa mida hii. Namshukuru Mungu mwizi nimelala naye mbele mpaka nikamkamata.
Kumbikumbi ?
Kiswahili wansitwaje hao
.....
Mpaka kakutemeshaa ung'eng'
Aibu nitaona mimi tetraHahahaa.mzima. ikiwa kweli utajipigga BANN????
sitaki iwe hivyo mwezi wa 5 katikati ulikuja bongo naomba isiwe kweli ukakaa week
sijui kwa Kiswahili wanaitwaje, nawajua kwa kilugha changu tunawaita Balabhapu
