Makapuku Forum

Makapuku Forum

dcb431c528158cfd14dec1c4c8110c55.jpg
End
........
Asantee madenge
 
TOP TEN
Km nilivyowaambiaga siku hizi jioni/usiku huwa nakuwa bize hivyo nawahi kushusha mzigo kisha naendelea na mengine maana hata mtu akiingia jioni/usiku atazikuta tu

Leo tuangalie wanyama kumi "wambeya" yaani wenye uwezo mkubwa wa kusikia
Mara nyingine # zitaweza kuchanganya hivyo mtu aangalie kilichoandikwa pamoja na kipimo cha sauti
Mawimbi ya sauti hupimwa katika hertz
.
.Karibuni
........
.
Karibuuu
 
TOP TEN
Km nilivyowaambiaga siku hizi jioni/usiku huwa nakuwa bize hivyo nawahi kushusha mzigo kisha naendelea na mengine maana hata mtu akiingia jioni/usiku atazikuta tu

Leo tuangalie wanyama kumi "wambeya" yaani wenye uwezo mkubwa wa kusikia
Mara nyingine # zitaweza kuchanganya hivyo mtu aangalie kilichoandikwa pamoja na kipimo cha sauti
Mawimbi ya sauti hupimwa katika hertz
.
.Karibuni
........
.
Asante mkuu
 
TOP TEN
Km nilivyowaambiaga siku hizi jioni/usiku huwa nakuwa bize hivyo nawahi kushusha mzigo kisha naendelea na mengine maana hata mtu akiingia jioni/usiku atazikuta tu

Leo tuangalie wanyama kumi "wambeya" yaani wenye uwezo mkubwa wa kusikia
Mara nyingine # zitaweza kuchanganya hivyo mtu aangalie kilichoandikwa pamoja na kipimo cha sauti
Mawimbi ya sauti hupimwa katika hertz
.
.Karibuni
........
.
Asanteee
 
10/Pigeon
f7c44f300ed9ef60ab9f43918834d0da.jpg
ae652cfe27af6863e662e5e107f34f47.jpg
Njiwa ni wabaya kwa kusikiliza wambea jamani kinachowazuia wasigeuke kasuku ni kushindwa kukariri maneno/matamshi tu
Njiwa pia ni mmoja kati ya wanyama wanne wenye akili ya kuweza kujitazama kwenye kioo na kugundua ni wao.....Prove it
Wana uwezo wa kusikia sauti kutoka umbali mrefu ...uwezo wao wa kusikia ni kati ya 200 hadi 10,000 Hz
........
Dah aisee
 
8/Rat
f8557bcdd3276c4839320d9c6effe9d5.jpg
0ee9d9a96a0396e9f1e8018bb67d4935.jpg
Achilia mbali uwezo wake wa kukaa muda mrefu bila kula...huyu ni noma kwa kusikia
Panya na Paka ni sawa na Bashite na Mange ....hawapatani na kinachomuokoa panya ni pamoja na uwezo wake wa kusikia
Anasikia sauti/rabsharabsa kwa kiwango cha 200Hz hadi 75 Khz
.....,
 
7/Owl
5c5b6e7fe7486ebaec693e5337712ed5.jpg
451afd2771a955dbd20609f4fcbf302f.jpg

Ana macho ya kuvutia
Bundi hapendwi kabisa na wanadamu huusishwa na nuksi/mkosi ila kwangu mimi namchukulia kawaida tu siamini masuala ya ushirikina....km kuna mtu anajua kuroga aroge nishindwe kumalizia mada tuone
Huyu uwezo wake wa kusikia ni mzuri
Anasikia kati ya 200 Hz hadi 12 Khz
......
 
6/Dog
99fa549f12ab13aab60316b54aae311a.jpg
acdbf940357204ba367ebdb022a9468f.jpg
Anafahamika kwa uwezo wake wa kunusa pia kihimili kukaa muda mrefu bila kula
Anatumika zaidi kwaajili ya ulinzi pia kama pambo....anajua kuishi na watu
Ana uwezo wa kumgundua boss wake kwa kusikiliza kishindo mguu/hatua anazotembea
Uwezo wake wa kusikia ni 45 Hz hadi 64 KHz
......
 
5/Cat
9d630a7acd05fe7873fb99d9d78058fb.jpg
26b7f307e90fe5612cea6f84437bd95d.jpg
Ni kweli paka ana roho 7 ? Sijui
Ni kweli paka mweusi ni mchawi ?....Sijui pia
Paka hufugwa kwa ajili ya pambo pia kukamata panya japo kuna paka mabishoo kula kulala tu
Ana uwezo wa kusikia sawa na mbwa
Yaani 45Hz hadi 64 KHz
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom