shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Mlipa kodioooh kumbe binamu we mjeda
Mlipa kodioooh kumbe binamu we mjeda
Umeniongezea kitu kuhusi balimi, sante mkuuWakati Safari lager ni bia ya raia wenye gwanda (polisi/jeshi) Balimi lager ni bia ya walipa kodi wakubwawakubwa
Aisee isiwe kweli ninavyodhani mzima lakini TetraHahahaa, itakua maana mi mwenyewe siishi bongo
Shemela anapenda sana safari hiyo balimi siku moja mojaMlipa kodi
1/Greater Wax Moth![]()
Huyu ndo bingwa wa kusikia duniani![]()
Ana uwezo wa kusikia X 150 zaidi ya binadamu
Ana uwezo wa kusikia zaidi ya popo
Ana uwezo wa kusikia zaidi ya 300 KHz
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane Jumatatu
Mwisho
......
......
oooh kumbe binamu we mjeda
Binamu me nimeshakuelewa ujue achana na hizi habari unazonipa....me ni.mwalimu yaani tichaz. Ila Safari lager ndo bia yangu (mshahara mdogo tunajitahidi kulewa mapema)
mama maflowers nakuona mzee mwenye mauwa yake kaonekana mama angu
...heeeh, ! Hebu jioni tukutane tuongee masuala ya kihisia zaidi mimi na wewe

OhooooItakuwa vyema ...mimi mama ashura namalizana nae
Yaani leo kashinda na tabasamu na maua yaani flowers kayamwaga kinomanoma yaani anayajaza tu anasubiri kujazwa pia
jaza ujazweeeee huyo ndio mama angu mieAfu wewee ntakuchapa ujuePamoja sana husna muba mpendwa wa Obe
Ndio hivyooAisee duh
Ni maneno tu ya chit-chat, sio kwamba ndio amemaanisha nafikiri ni hilo tu mkuu shimba ya buyenze aka mzee wa kolomije
Afu wewee ntakuchapa ujue
Yaani leo kashinda na tabasamu na maua yaani flowers kayamwaga kinomanoma yaani anayajaza tu anasubiri kujazwa pia
