Makapuku Forum

Suala la mabinti hakika linahitaji mjadala,na aseme kilichojaa moyoni mwake huenda ikawa ni more personal,kitaifa,kikatiba kuzuia wasirudi shule....haimezeki

Wajane wakumbukwe hata vitabu vya Mungu vinazungumza yapo maandiko mengi mojawapobni hili

YAKOBO 1

27. Dini iliyo safi ,isiyo na taka mbele za MUNGU BABA ni hii,kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao ,na kujilinda na dunia pasipo mawaa.

MBARIKIWE
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…