shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Amen, Asante mama mchungaji kwa maombi ya usiku wa leoAYUBU 11
17.Na maisha yako yatakuwa meupe,kuliko adhuhuri;Lijapokuwa ni giza litakuwa kama alfajiri.
18.Nawe utakuwa salama kwasababu kuna matumaini.Naam utatafuta-tafuta kando yako ,na kupumzika katika salama
19.Tena utalala ,wala hapana atakayekutia hofu;Naam wengi watakutafuta uso wako.
MALAIKA WALINZI WAWEKE VITUO MAJUMBANI MWENU NA WAZUNGUKE VITANDA VYENU DAMU YA YESU IWAFUNIKE USIKU MWEMA MBARIKIWE
![]()
![]()
AYUBU 11
17.Na maisha yako yatakuwa meupe,kuliko adhuhuri;Lijapokuwa ni giza litakuwa kama alfajiri.
18.Nawe utakuwa salama kwasababu kuna matumaini.Naam utatafuta-tafuta kando yako ,na kupumzika katika salama
19.Tena utalala ,wala hapana atakayekutia hofu;Naam wengi watakutafuta uso wako.
MALAIKA WALINZI WAWEKE VITUO MAJUMBANI MWENU NA WAZUNGUKE VITANDA VYENU DAMU YA YESU IWAFUNIKE USIKU MWEMA MBARIKIWE
![]()
![]()

AmeenAmen, Asante mama mchungaji kwa maombi ya usiku wa leo
Makapuku wote tutakaswe na damu ya Yesu

Kama huwa nafichwanisahau nini tena mimi jaman
KabisaaLinakuw km LA kike
Nina mipango mingi ya kando, so kuachwa si shidaumeachika ninii mzee wa porini
Hahahaa, watakuwa niwakizungu tuMi mwenyewe nimemtafuta sijamuona
Kufichwa ni jau, unaweza kugutuka jua likiwa linatoka kaskazini kwenda kusiniKwa nini hazipo
Hahaha, ningekuwa pesa ingekua ajabu kuachwaShemela we mtu mzima ujue atakuwa kaachika