Makapuku Forum

Makapuku Forum

e5210fdc69557f032c75d79a5e5f6baf.jpg
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
......
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
[emoji524] AYUBU 11

17.Na maisha yako yatakuwa meupe,kuliko adhuhuri;Lijapokuwa ni giza litakuwa kama alfajiri.

18.Nawe utakuwa salama kwasababu kuna matumaini.Naam utatafuta-tafuta kando yako ,na kupumzika katika salama

19.Tena utalala ,wala hapana atakayekutia hofu;Naam wengi watakutafuta uso wako.

[emoji523] MALAIKA WALINZI WAWEKE VITUO MAJUMBANI MWENU NA WAZUNGUKE VITANDA VYENU DAMU YA YESU IWAFUNIKE USIKU MWEMA MBARIKIWE[emoji7] [emoji7]
Amen, Asante mama mchungaji kwa maombi ya usiku wa leo
Makapuku wote tutakaswe na damu ya Yesu
 
[emoji524] AYUBU 11

17.Na maisha yako yatakuwa meupe,kuliko adhuhuri;Lijapokuwa ni giza litakuwa kama alfajiri.

18.Nawe utakuwa salama kwasababu kuna matumaini.Naam utatafuta-tafuta kando yako ,na kupumzika katika salama

19.Tena utalala ,wala hapana atakayekutia hofu;Naam wengi watakutafuta uso wako.

[emoji523] MALAIKA WALINZI WAWEKE VITUO MAJUMBANI MWENU NA WAZUNGUKE VITANDA VYENU DAMU YA YESU IWAFUNIKE USIKU MWEMA MBARIKIWE[emoji7] [emoji7]
[emoji120] [emoji120]
 
Back
Top Bottom