Makapuku Forum

Makapuku Forum

e5210fdc69557f032c75d79a5e5f6baf.jpg

......
 
AYUBU 11

17.Na maisha yako yatakuwa meupe,kuliko adhuhuri;Lijapokuwa ni giza litakuwa kama alfajiri.

18.Nawe utakuwa salama kwasababu kuna matumaini.Naam utatafuta-tafuta kando yako ,na kupumzika katika salama

19.Tena utalala ,wala hapana atakayekutia hofu;Naam wengi watakutafuta uso wako.

MALAIKA WALINZI WAWEKE VITUO MAJUMBANI MWENU NA WAZUNGUKE VITANDA VYENU DAMU YA YESU IWAFUNIKE USIKU MWEMA MBARIKIWE
Amen, Asante mama mchungaji kwa maombi ya usiku wa leo
Makapuku wote tutakaswe na damu ya Yesu
 
AYUBU 11

17.Na maisha yako yatakuwa meupe,kuliko adhuhuri;Lijapokuwa ni giza litakuwa kama alfajiri.

18.Nawe utakuwa salama kwasababu kuna matumaini.Naam utatafuta-tafuta kando yako ,na kupumzika katika salama

19.Tena utalala ,wala hapana atakayekutia hofu;Naam wengi watakutafuta uso wako.

MALAIKA WALINZI WAWEKE VITUO MAJUMBANI MWENU NA WAZUNGUKE VITANDA VYENU DAMU YA YESU IWAFUNIKE USIKU MWEMA MBARIKIWE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom