Asante Lee wa Shunie Goodmorning to youWakuu kumeshakuchaa ...
Soon simulizi, UF na dondoo za bbc ...Good morning family
Ubarikiwe mkuu ShululuAmen, Asante mama mchungaji kwa maombi ya usiku wa leo
Makapuku wote tutakaswe na damu ya Yesu
Bora kuwa wa mwisho na salamaGroups za nini? Kuna habari mpya hapa Jukwaani kuhusu magroup na sijaiona?
Hii tabia yangu ya kuwa wa mwisho kupata news sio nzuri kiafya
ZABURI 71
BABA Asante kwa asubuhi ya leo ,asante kutuamsha salama Sifa ,Shukurani,Heshima Na Utukufu ni kwako Mfalme wa Amani.
Tufundishe kusamehe zaidi,kupenda zaidi,kutoa zaidi ili tupate kusamehewa,kupendwa na kupokea.
Siku ya leo tushike mkono tuongoze katika safari hii njema ya maisha ambayo umetupa kama zawadi iliyo njema tuifurahie na kila wakati tuhesabu baraka ulizotujalia,tusinung'unike,tusikate tamaa na wala tusirudi nyuma tukaze mwendo huku tukikutegemea wewe tu ili tuuone utukufu wako.
Bariki kila mmoja katika kundi dogo hili la MAKAPUKU awe msaada kwa mwenzie,awe faraja awe mfano bora na kumbukumbu njema kwa kila mmoja na kuifanya dunia uliyojaa changamoto kuwa mahali pema na pazuri pa kuishi.
Asante kwani utatupa kushinda sawa na mapenzi yako katika jina la Yesu Amen
MUWE NA SIKU NJEMA MBARIKIWE![]()
![]()
![]()
Kazi muhimu na inakupa ujasiri kuishi kwa amani...siku hazigandi japo zinakwenda polepole na leo. Kiujumla mambo poa kabisa sema michakato tu si unajua ukiwa huwezi kuiba inabidi ufanye tu kazi halali
AsanteAsante BH, Diana alikuwa ni queen wa dancehall enzi hizo na ukiweza just google wimbo wake Tenderness, utaupenda. Usiku mwema
AmeeeeeeiiiiiiniiiiiZABURI 71
8.Kinywa changu kitajazwa sifa zako ,na heshima yako mchana kutwa
9.Usinitupe wakati wa uzee,Nguvu zangu zipunguapo usiniache.
BABA Asante kwa asubuhi ya leo ,asante kutuamsha salama Sifa ,Shukurani,Heshima Na Utukufu ni kwako Mfalme wa Amani.
Tunaomba toba kwa mambo yote tuliyokosa kwa mawazo maneno na matendo turehemu twakusihi.
Ponya wagonjwa ,waliovunjika moyo,wasio na kazi Baba waangalie kwa wema wako,wafiwa ,wajane yatima wafariji waguse wakuone wewe na wakutegemee daima.
Tufundishe kusamehe zaidi,kupenda zaidi,kutoa zaidi ili tupate kusamehewa,kupendwa na kupokea.
Siku ya leo tushike mkono tuongoze katika safari hii njema ya maisha ambayo umetupa kama zawadi iliyo njema tuifurahie na kila wakati tuhesabu baraka ulizotujalia,tusinung'unike,tusikate tamaa na wala tusirudi nyuma tukaze mwendo huku tukikutegemea wewe tu ili tuuone utukufu wako.
Bariki kila mmoja katika kundi dogo hili la MAKAPUKU awe msaada kwa mwenzie,awe faraja awe mfano bora na kumbukumbu njema kwa kila mmoja na kuifanya dunia uliyojaa changamoto kuwa mahali pema na pazuri pa kuishi.
Asante kwani utatupa kushinda sawa na mapenzi yako katika jina la Yesu Amen
MUWE NA SIKU NJEMA MBARIKIWE![]()
![]()
![]()
Ndoo hivooHahahaha
Morning mkuuMorning Lee
Kweliii kabisaMdomo unaumba kwakweli ,tuepuke kunena majanga..tunene yanayohuisha
Karibu mama mchungajiAsante Lee kwa hadithi, UF na BBC
Nawe pia siku njema
Ubarikiwe sana