EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,414
Ha haaa nakuamini saana kijana wanguDogo hajui kutunza mke nikaona nimsaidie kidogo.
Kama kawaida yangu.
Wakazima taaa kidogoooo....Natumai msaada huo utakuwa si ule wa kuleta madhara...Ni ule wa upendo kabisa kwamba umeamua kumtoa shemeji yako outing baada ya hapo anaenda kufanya shopping na akirudi home anamwambia kabisa mume wake kwamba leo nilikutana na shemji akanifanyia surprise...Siyo?
Wakati mwingine naifikiria sana hii nchi yetu na wanaoiongoza kwa kweli hivi kweli hua hawafikiriagi kabisa kuhusu mvua kunyesha?Ukiwaza sana ishu za Polifix utakonda kushinda ht mbu
![]()
![]()
![]()
...............
Asante brother sitokuangusha.Ha haaa nakuamini saana kijana wangu
Watu wanafikiria kupiga pesa tu.Wakati mwingine naifikiria sana hii nchi yetu na wanaoiongoza kwa kweli hivi kweli hua hawafikiriagi kabisa kuhusu mvua kunyesha?
Ha haaa zipigwe tuu Hamna namna.enzi zile my waifu anasumbua kuna Jamaa walinikosesha usingiziSumbai unaleta chokochoko unata zipigwe!
Unalipiza!Ha haaa zipigwe tuu Hamna namna.enzi zile my waifu anasumbua kuna Jamaa walinikosesha usingizi
Wakati mwingine naifikiria sana hii nchi yetu na wanaoiongoza kwa kweli hivi kweli hua hawafikiriagi kabisa kuhusu mvua kunyesha?
Nakukubali sana ndugu yangu na isinge kuwa hivyo usingekuta shemeji yangu aggyjay katulia na wewe mpaka sasa..So youngblood yafaa akubali tu..Hana lolote huyo, mbona nafit sehem zote.
Hahahaa mi sina habari za damtanzania ngoja nifuatilie nijue yuko na naniDogo ananitafuta maneno.
Hivi damtanzania yuko single??
Hapana mkuu heshima ilikuwa imeyumba kidogo sana baina ya EMMYGUY na youngblood ila mpaka sasa imerejea inapostahili..Wakazima taaa kidogoooo....
Ha haaa
Kama sio kitandani na blanket zito yuko gest house trust me hii baridi ya dar sio mchezoHi hny..how r u duin' na hii baridi?
Hahahah yaani sumbai anakuwa kama refa baina ya EMMYGUY na youngblood wakati ndugu zangu hawa washamaliza tofauti zao ..Sumbai unaleta chokochoko unata zipigwe!
sumbai leo amekuja kivingine.Sumbai unaleta chokochoko unata zipigwe!
Ndio Tanzania hiiiWakati mwingine naifikiria sana hii nchi yetu na wanaoiongoza kwa kweli hivi kweli hua hawafikiriagi kabisa kuhusu mvua kunyesha?
Naona mnaibiana sasa duuu bora usingle tu unakua huru kabisa ukisubiri mke wa mtu au demu ajipendekezeUmeona wapi mtu anakanusha ukweli.!?