nellwan
JF-Expert Member
- Mar 17, 2016
- 378
- 682
Kwani si atakuwa katafsiri tu kwani kuna ubaya.![]()
![]()
hawa watu ukiwaruhusu kuita shemdarling kesho atakuja na shemmpenzi.
Naomba kumjua Shem darling

Kwani si atakuwa katafsiri tu kwani kuna ubaya.![]()
![]()
hawa watu ukiwaruhusu kuita shemdarling kesho atakuja na shemmpenzi.

Huyo huyo atanifaa kwa kipindi hiki cha mpito
youngblood hajui kumbembeleza mwanamke ndo maana kaachwa na shem.Sina hakika, dada nikijua mpaka kama kaka zangu hawajui kupetipeti itakuwa too much au sio EMMYGUY
Cc youngblood
Ni kweli ndugu yangu na ule usemi wa abiria chunga mzigo wako lazima uwe applicable kwa watu kama hao..![]()
![]()
hawa watu ukiwaruhusu kuita shemdarling kesho atakuja na shemmpenzi.
Utamsaidiaje rafiki yako ilhali wewe umeachwa?Dogo hajui kutunza mke nikaona nimsaidie kidogo.

Ila hayo umesema wewe mi sijasema kitu kabisayoungblood hajui kumbembeleza mwanamke ndo maana kaachwa na shem.

Ndugu yangu EMMYGUY soma hii kutoka kwa ndugu yako..Yelekea bado heshima ipo...Ni kweli shemeji heshima yangu kwa kaka yangu EMMYGUY bado ipo palepale.
Kazi yangu mimi ni kumsaidia shemeji yangu aggyjay pale ninapoona brother hawezi kucheza part yake vizuri.
Athubutu aone!?Natumai msaada huo utakuwa si ule wa kuleta madhara...Ni ule wa upendo kabisa kwamba umeamua kumtoa shemeji yako outing baada ya hapo anaenda kufanya shopping na akirudi home anamwambia kabisa mume wake kwamba leo nilikutana na shemji akanifanyia surprise...Siyo?
youngblood mwenyewe kasema amezima taa kwa shem A nkajua ndo wewe.We themejiiiiii unantafuta eeehhhh......hujui youngblood anatoka na mdogo angu Nahrene halafu siwez kuchepuka kwa manuu yaani namkubali mbayaaaaaaaaa
Ukweli upi tena?Hhahaha.
Shemeji usitake niseme ukweli hapa.
Ni kweli kabisa braza.Ni kweli ndugu yangu na ule usemi wa abiria chunga mzigo wako lazima uwe applicable kwa watu kama hao..
Kama part ipi?Ni kweli shemeji heshima yangu kwa kaka yangu EMMYGUY bado ipo palepale.
Kazi yangu mimi ni kumsaidia shemeji yangu aggyjay pale ninapoona brother hawezi kucheza part yake vizuri.

Bitoz hongera sana leo umetupia post ya 22k
Hivi youngblood nae ni single siku hizi? Hatari sanaMasingle mbona wengi sana, kuna akina youngblood, sizzya007, ibra87 na wengine kibao.
Mkuu, karibu ili muanzishe chama chenu.
Naona unatikisa kiberiti.Mwenyeji asante hayo maji ya Gold sasa![]()
![]()
sijui founder ni nani.
Eti mrembo na wewe tayari uko booked?
Ht sikujuaBitoz hongera sana leo umetupia post ya 22k
Hahaa... yupi tena kijana?Kwani si atakuwa katafsiri tu kwani kuna ubaya.
Naomba kumjua Shem darling![]()
![]()
![]()
![]()
![]()