Kutnda mema, hiyo pointTuwe na Alhamis njema wadau...ila kuthubutu ikiwa nguzo yetu kwa kutenda yaliyo mema ....
Sijaelewa aiseeTafakar ya kirat. ..![]()
Mfano mzuri wa kuigwa, hatupaswi kukata tamaa
KumekuchaWakuu kumekucha salama ...Tumshukuru Mungu
Soon UF na dondoo za bbc
Amen, barikiwa sana blessed kwa moyo mzuri. Uwe na siku njema pia.HESABU 6
24."BWANA Akubarikie na kukulinda"
BABA Asante kutuamsha salama siku ya leo ,hatuna la kusema zaidi ya Asante,tunajikabidhi Mikononi mwako siku ya leo utuondoe katika hatari mbalimbali na ajali mbalimbali za mwili na za roho,utuopoe kila tuingiapo hatarini Mfalme wa Amani.
Ponya wagonjwa wape nguvu wafiwa wajane yatima wape tumaini la kudumu,wasaidie wenyechangamoto mbalimbali wakumbuke baraka zote tangu kuzaliwa hadi siku ya leo.
Mahali hapa MAKAPUKU tupate maarifa,tupate furaha,tupate faraja pawe kimbilio la wengi wenye mapenzi mema.
Tunakushukuru sana kwa baraka tele unazotujalia za marafiki,kazi ,chakula,Amani,mavazi,uhuru,upendo,mshikamano,masomo,maarifa ,uponyaji,kukujua wewe,kukupenda na kukuheshimu Baba hatuna mwingine kama wewe asante kwa kuwa hujawahi kuchoka kila siku umetenda mema na makuu kwetu.
Zidisha upendo mahali hapa ,tupe mshikamano na furaha ya kweli tusaidie tufahamu mahitaji ya kila mmoja wetu na kuombeana Amani
Walinde wasafiri wafike salama,wagonjwa wainuke katika vitanda na kupata kupona,wasio na makazi wape makazi ya kudumu ee BABA,wasio na ajira wape maarifa na mbinu bora za kuishi,boresha mahusiano ya familia,ndoa,uchumba kila mmoja ajue kusudi lako katika maisha.
Asante kwa ulinzi BABA,Tunaomba yote yafanyike katika utukufu wa jina lako takatifu jina la Yesu,Damu yake takatifu itufunike.
Amen
NAWATAKIA SIKU NJEMA SANA MBARIKIWE![]()
![]()
Amen, Asante kwa neno mama mchungajiHESABU 6
24."BWANA Akubarikie na kukulinda"
BABA Asante kutuamsha salama siku ya leo ,hatuna la kusema zaidi ya Asante,tunajikabidhi Mikononi mwako siku ya leo utuondoe katika hatari mbalimbali na ajali mbalimbali za mwili na za roho,utuopoe kila tuingiapo hatarini Mfalme wa Amani.
Ponya wagonjwa wape nguvu wafiwa wajane yatima wape tumaini la kudumu,wasaidie wenyechangamoto mbalimbali wakumbuke baraka zote tangu kuzaliwa hadi siku ya leo.
Mahali hapa MAKAPUKU tupate maarifa,tupate furaha,tupate faraja pawe kimbilio la wengi wenye mapenzi mema.
Tunakushukuru sana kwa baraka tele unazotujalia za marafiki,kazi ,chakula,Amani,mavazi,uhuru,upendo,mshikamano,masomo,maarifa ,uponyaji,kukujua wewe,kukupenda na kukuheshimu Baba hatuna mwingine kama wewe asante kwa kuwa hujawahi kuchoka kila siku umetenda mema na makuu kwetu.
Zidisha upendo mahali hapa ,tupe mshikamano na furaha ya kweli tusaidie tufahamu mahitaji ya kila mmoja wetu na kuombeana Amani
Walinde wasafiri wafike salama,wagonjwa wainuke katika vitanda na kupata kupona,wasio na makazi wape makazi ya kudumu ee BABA,wasio na ajira wape maarifa na mbinu bora za kuishi,boresha mahusiano ya familia,ndoa,uchumba kila mmoja ajue kusudi lako katika maisha.
Asante kwa ulinzi BABA,Tunaomba yote yafanyike katika utukufu wa jina lako takatifu jina la Yesu,Damu yake takatifu itufunike.
Amen
NAWATAKIA SIKU NJEMA SANA MBARIKIWE![]()
![]()
Kumekucha na makucha yake kila mtu nakichaa chake,Wakuu kumekucha salama ...Tumshukuru Mungu
Soon UF na dondoo za bbc
Asante kwa UF na BBC, pia nawe alhamis njemaTuwe na Alhamis njema wadau...ila kuthubutu ikiwa nguzo yetu kwa kutenda yaliyo mema ....