Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ha ha ha ha ha ha ha ha ungelimjeruhi wapii wakati ulinywea kama sisimizi mpaka nikatoa kale ka kisu nilikokuwa nimekachonga kwa ajili ya kuibia maembe ila tuliwawezaaa....

Ila bhinamu unakumbuka yule bint wa jiran aliyetoka advanced level shuleni ukajitutumua kumpiga mistariii....weee bhinamuu ukipanga wako umeuanzaa zamani dadekiiiii eti ukaniomba nikuandikie kwa kingereza .....
ukute demu mwenyewe hajui ngeli mkampa shida kuelewa tu mtoto w watu
 
1/Dhaqabo Ebba
118fb4bfef6099f4bb3e8cfc41363089.jpg
de139d640bfe52257117e905eae0a502.jpg
bb0c1efc0b9b66e047cfff9a932d57c9.jpg

Ni Muethipia alizaliwa miaka ya 1850's
Muda wake mwingi anejishughulisha na kilimo
Sijaona mahali popote kama huyu babu keshafariki(sina uhakika)
Kinachomnyima tunzo ya kuwa mtu mzee zaidi duniani ni ukosevu wa ushahidi kamili pia Wazungu hujipendelea tu kwa kila jambo
Ana umri wa zaidi ya miaka 160
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.............
Ubarikiwe mkuu Bitoz kazi yako ni njema asante sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom