Makapuku Forum

Makapuku Forum

nishamjua binamu yangu pale ndio moyo wako ulipo we sababu si haunipendi unaongeaga mavitu yako mbona pale ungekaaa ila sababu ya ujeuri wako na kuniona mm wa nini endelea kulialia tu


sio kosa langu, lazima tu anko wangu lee empire ana mkono wake kwenye hili suala. Huwa ananifanya naongea hata vitu sivielewi. Anyway, ipo siku tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom