Makapuku Forum

Makapuku Forum

...yanini nione choyo au donge kwa jina lako kuandikwa mkononi tena kwa kalamu ya wino. Pale tu kenda kukoga jina likapotea. Lingeandikwa moyoni hapo ungekuwa na ubavu wa kunituhumu.

Unajua kuachika na kukataliwa ni mtihani sana. Vumilia
Nasuburia kwa hamu nawewe akuchole kwa kiganja chake

Maana huyu mrembo kwa kutugonganisha hajambo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji134] [emoji134]
 
Back
Top Bottom