shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Kuachwa Kuachwa...yanini nione choyo au donge kwa jina lako kuandikwa mkononi tena kwa kalamu ya wino. Pale tu kenda kukoga jina likapotea. Lingeandikwa moyoni hapo ungekuwa na ubavu wa kunituhumu.
Unajua kuachika na kukataliwa ni mtihani sana. Vumilia
