shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Obe weka wimbo wa kuachwa KuachwaBH hajawahi kunikubali, yaani namuimbishaga daily kama news. Hajawahi kunielewa sasa sina hakika kama Husna atanielewa, mind you, Husna yuko singoland sasa
Obe weka wimbo wa kuachwa KuachwaBH hajawahi kunikubali, yaani namuimbishaga daily kama news. Hajawahi kunielewa sasa sina hakika kama Husna atanielewa, mind you, Husna yuko singoland sasa
Eeeh make alihapa kabisa "shedede nakupenda kwa shida na raha kwa kila gumu au jepesi utakalo pitia"![]()
hivi mambo ya kiapo bado yapo dunia hii

Hayapo siku hizi
mambo ya kuchanjiana damu mwisho wa siku mnaachana mnabaki na maagano yenu yanawatafuna unajiona una mkosi kumbe maagano yenuKila la kheri shemela,angalia mbele uclielie tenaInshalah nitapata wakunipenda kweli shemela
nishamjua binamu yangu pale ndio moyo wako ulipo we sababu si haunipendi unaongeaga mavitu yako mbona pale ungekaaa ila sababu ya ujeuri wako na kuniona mm wa nini endelea kulialia tuUnamjua bhana usijitoe fahamu, si huyu huy wa siku zote na anajijua
Ni namna tu ya mapokeo, lakini ni jambo la kawaida sanashemela achana na kuachwa ghafla unaweza chizika bora upewe taarifa bwana me naona kila mtu aendelee na ustaarabu wake
Nasuburia kwa hamu nawewe akuchole kwa kiganja chake
Maana huyu mrembo kwa kutugonganisha hajambo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
nishamjua binamu yangu pale ndio moyo wako ulipo we sababu si haunipendi unaongeaga mavitu yako mbona pale ungekaaa ila sababu ya ujeuri wako na kuniona mm wa nini endelea kulialia tu

kweli kabisa akubaliane na hali kitu gani kwani kama ni mazoea utasahau tu halaf Mungu kaumba kusahau yatapita kuna maisha mengine unayaacha yaendelee kujiendekeza tuNi namna tu ya mapokeo, lakini ni jambo la kawaida sana
Hata ukisikitika hawezi kubadili msimamo
Nusu saa tu inatosha kusahau kila kitu
ha ahahaha, mimi hawezi kunichora kiganjani wakati moyo anao, akikubali atanichora na uji wa dhahabu sio makinikia. subiri tutakutaarifu.
Halafu, hana kawaida ya kugonganisha sema hapendi kuchezewa akili

binamu weka mapacha watatuObe weka wimbo wa kuachwa Kuachwa
Sawa shemelaKila la kheri shemela,angalia mbele uclielie tena
Hatujakubaliana awe mke au mimi niwe mume. Tupo tunahangout ikitokea tuktoka ni with benefit no string attached
am waiting a wedding day
acha kabisa mke mwee ila akubaliane tu na hali maisha yaendelee![]()
![]()
kuachwa kutakuwa kumemvhanganya shemela
na me nakuombea utapata wa kufanana nae
Hapana! uhakika anao binamu yake shunie, make yeye ndo mwenye maamuzi asuke au anyoe.Una uhakika