pole binamu jamaan binadamu watu wabaya sana hivi kwa nini mlimfitini mama mchuchu kwa binamu yangu wasamehe tu binamu
Ilikuwa kazi nzito ....lakin CM sitomsahau na Ashura wakeMimi na mjomba wangu hapa baada ya kuwa tumemaliza mgogoro wetu wa kimaslahi.
Kila mmoja anaendelea kushikiria silaha yake maana huwezi kujua, mimi huyu mjomba tunaaminiana kutoaminiana
....nyingine huwa ngumu kuhesabu maana zimefungwa kistaili ya Rose Muhando zinaitwa 'Mama Nibebe' hizo ngumu sana kusabu utakesha maana ziko kama ghorofa bila lift
Nenda zako huko, wewe jina lako ndo la kwanza kabisa kwa mlionifitni jana, na nimeliwekea nyota tano. Yaani mtaasisi, ni suala la muda tu, tusilaumiane. Fitna zako za jana etii unajitolea kusindikiza? Kwani wewe ni msalaba mwekundu? Au ni mkabili majanga au ni mkuu wa mkoa?
Natafuta mafaili yako kitaasisi hapa siku Linamo akija tu nayafungulia kama bomba mvua
Nashukuru kwa kulipuuza hiloSiamini kabisa, ila mkeo ndio alisema hakutaki kwa sababu ya uchawi
Mmmmmh!!! HayA hongereni mpendwakumbe ndio maana BH hakutaki
utashushwa mshipa ohooo
Nini tenaMmeanzaa
Apo ndo huwa nakukubariii binamu hujawai kuniangushaa.....first of all ticha: Hajawahi kusema hanitaki
seondly: uko singoland na mimi niko singoland kwa hiyo ninakulike nawe unanilike yaani tunalikeana. Tunaweza kusaidiana kumaliza hiki kiroba ulichonacho na nilichonacho hadi pale tutakapopata mwelekeo sahihi
Bora leo umefunguka...first of all ticha: Hajawahi kusema hanitaki
seondly: uko singoland na mimi niko singoland kwa hiyo ninakulike nawe unanilike yaani tunalikeana. Tunaweza kusaidiana kumaliza hiki kiroba ulichonacho na nilichonacho hadi pale tutakapopata mwelekeo sahihi
Nashukuru kwa kulipuuza hilo
Kuna mwingine anaeamini mimi ni mchawi
Anyooshe mkono juu
Atachomokaje sasa wakati na yeye anapenda mzigo kushinda 700. Anyway Tumosa nakusalimia tu mamaa ya muzigo zaidi ya 700, hongera sana, yaani inaonesha wewe zako tutaziita shanga kimini 1500
hahaha unachomoka vipi shemelaMimi nachomoka vizuri tu
mtuhumiwa wa nini mke mweewwe ndo mtuhumiwa no1
Haaaaahaaaa..ya nini kunyoosha mkono wakti kunawengine wanyoosha miguu chini kuunga mkono hatua ya beibe husna muba
Fitina zenuNini tena
Hata mm naonaaTumetokaa mbali na bhinamu wanguuu