Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Sawa ila mi nilikuwepo hapo siku tatu zilizo pitaVizuri, hapo mjini dar ni kwema, tumerudi mkoani
Anaendelea vizur amasharuhusiwa kurudi nyumbaniSalama kaka,mgonjwa anaendleaje
Maisha ya ule UZi ni mafupi zaidi ya Umeme wa LUKUKuna uzi ukikoment unapata likes... yani lengo la uzi ni hilo (comment chochote upate likes) na ulikuwa unakimbia balaa
Mwandiko wako unafanana sana na SzczesnyMndali wewe![]()
![]()
![]()
![]()
Tuko pamoja mkuuYawezekana kapuku mwenzangu ulikuwa bize na kwa njia moja ama nyingine ulizikosa updates na kujua kilichojiri ...sio mbaya tukaona 10 zilizobamba kuanzia tarifa muhimu mpaka michezo na ikumbukwe leo ijmaa wapenzi wa simulizi inaendelea .....
Kumbe Ana makosa mengi!!!! Niliskia alilipaga faini ya 200 million nikadhani ndio yameisha kumbe bado ! Loh!!!Namba 08..
Kesi ya 'Ndama mtoto wa Ng'ombe" imeahirishwa hadi July 20 2017 ushahidi haujakamilika, ni kwa yale makosa mengine matano
![]()
Word...Umaarufu wa mtu au uzi unarokana na kilichoandikwa na siyo wingi wa like alizonazo mtu
Yaani maneno yako ndo hukaa moyoni kwa mtu likes zako hukaa kwenye profile tu pengine kwenye list ya Top 20
Pia uzi unaweza kuwa na post nyingi kila siku lakini ukafuatiliwa na wachache yaani Kusubscribe mfano nyuzi za The Bold zinafuatuliwa sana kule Jukwaa la Intelligence
Mtu unaweza kuwa na post nyingi na kuwepo kwenye list ya most posts lakini ukazidiwa umaarufu na asiyekuwepo kabisa kwenye list
Mtu unaweza kuwa na maLIKE mengi pengine kunizidi mimi lakini usiwe maarufu
Kwangu mimi hii thread imenisaidia kujifunza mengi pamoja na kupata marafiki wengi hadi kushirikiana nje ya JF.....
Hivyo uzuri wa thread ni kile kilichomo/kinachoandikwa na siyo wingi wa post
..........
Pia nitafurahi akipatikana mapema mtu wa kuongoza maLIKE badala yangu na ikiwezekana nisiwepo kabisa kwenye listmaneno mujarabu kabisa. Niongeze nini tena, la. well, wmisho hakuna nukta ngona niiweke.
Hatupo kwa ajili ya kushindana na mtu(Uzi) yoyote .....
uwepo wa huo uzi hawezi kutuzuia kufanya mambo yetu wala kuharibu urafiki/Umoja wetu
Tufabye mambo yetu hata uzi kwa siku ukiwa na kapage kamoja sawa tu ...ilimradi tuna maisha yetu.
Kwani lazimaa?! Wanamuonea donge kabilaNamba 07..
Katibu Mkuu wa zamani wa UN, Koffi Annan na Marais 7 wa zamani kutoka Afrika, wameitaka Congo kuhakikisha inafanya Uchaguzi Mkuu mwaka huu.
![]()
mama lazima amfate baba anachopenda mke mwee kama wewe ulivyomfata shemela na arsenal yenu
haya mke mweeeAsante mkuu
Asante Madenge kwa top10
Pamoja sana wadauThanks bitoz