Makapuku Forum

Makapuku Forum

Namba 09

2901338a4201a2feb73104522ddb5ef7.jpg


Kwenye Kesi ya Kitilya na wenzake upande wa Jamhuri wamesema wameshapata vielelezo vya ushahidi kutoka Uingereza
Jamaa wanateseka aisee
 
Namba 08..

Kesi ya 'Ndama mtoto wa Ng'ombe" imeahirishwa hadi July 20 2017 ushahidi haujakamilika, ni kwa yale makosa mengine matano

d2024198e2782fbc3958fe348463a8ac.jpg
Jamaa alitumia akili sana kukubali kosa na watu walimshangaa sana, lakini alijua akikubali adhabu yake ni kifungo au kulipa faini, badala ya kukana kosa unakaa mahabusu miaka hata mitano, hiyo ni adhabu tosha, sasa yeye akakiri na akapewa adhabu ya kifungo au alipe faini ya 200,000,000. Akalipa faini na kesi ikaisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom