Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,642
1/Chandra Bahadur Dangi
Alizaliwa mwaka 1939 na kufariki mwaka juzi akiwa na umri wa miaka 75
Alikuwa ni babu raia wa Nepal inaonekana hiyo nchi ni ya mbegu fupi pamoja na majirani zao Wahindi
Alikuwa akishikilia rekodi ya mtu mfupi zaidi duniani hadi maiti yalipomkuta mwaka 2015 na rekodi yake ya ufupi bado inaishi maana hajawahi kutokea mtu mfupi kumzidi katika historia ya dunia
Alikuwa na urefu wa Sm 54.6 sawa na inchi 21.5
Mwisho
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane Jumatatu
..................
Alizaliwa mwaka 1939 na kufariki mwaka juzi akiwa na umri wa miaka 75
Alikuwa ni babu raia wa Nepal inaonekana hiyo nchi ni ya mbegu fupi pamoja na majirani zao Wahindi
Alikuwa akishikilia rekodi ya mtu mfupi zaidi duniani hadi maiti yalipomkuta mwaka 2015 na rekodi yake ya ufupi bado inaishi maana hajawahi kutokea mtu mfupi kumzidi katika historia ya dunia
Alikuwa na urefu wa Sm 54.6 sawa na inchi 21.5
Mwisho
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane Jumatatu
..................