Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,406
Tutamaliza mtaji wako mkuu. Naogopa!![]()
![]()
![]()
.
Mkuu ebu mwambie kilicho moyoni mwako usilete ngonjera
Tutamaliza mtaji wako mkuu. Naogopa!![]()
![]()
![]()
.
Mkuu ebu mwambie kilicho moyoni mwako usilete ngonjera
Hakuna tatizo. Dunia hii imejaa akina Aganza wa kila aina japo kuna Aganza mmoja tu. Go figureNgoja ngojaa utakuta aganza sio wako



Bhasi acha maneno acha kila mtu atafune kwa urefu wa kamba yakeeTutamaliza mtaji wako mkuu. Naogopa!

Ata hao wengi wana aganza' wao wengiHakuna tatizo. Dunia hii imejaa akina Aganza wa kila aina japo kuna Aganza mmoja tu. Go figure![]()
Basi itakuwa ngoma droo mkuu.Ata hao wengi wana aganza' wao wengi
Bosi salama
Ushauri mzuri mzee wa totoz. Kula maisha baba kifo chajaBhasi acha maneno acha kila mtu atafune kwa urefu wa kamba yakee
Tulia na husna shem wako![]()


. Zikusanye hizo totoz mpaka uvunje rekodi ya mfalme Seleman...![]()
![]()
![]()
kuna mtu kaniita"husna ya shimba" ndio namshangaa
Asante shululuNzuri aganza, karibu
Ndio ni shemeji yangu tu basiHa ahahhahahaha, kushangaa ruksa. Nilijua Shimba ni shemegio?
Kwemaa unamuona nan apa shimba au binamuBosi salama
Mimi nina shunie mtanivunjia ndoa jamaniiiUshauri mzuri mzee wa totoz. Kula maisha baba kifo chaja. Zikusanye hizo totoz mpaka uvunje rekodi ya mfalme Seleman...
Ndo wanaoshindana na kapuku ?? Dunian kuna maajabu
Binamu usimvishe zigo la totoz please. Mimi sitaamini mpaka mwenyewe akiri.Mimi nina shunie mtanivunjia ndoa jamaniii
Mimi mzee wa peremende binamu msajili wa totoz
Mh!Kwemaa unamuona nan apa shimba au binamu