Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
salama kakaHuku kwema habari ya ujenzi wa taifa
salama kakaHuku kwema habari ya ujenzi wa taifa
ni nini Baba D binamu aliweka kuhusu mimiSi yalikuwa ya jana
kuwa na amani Baba D
Unazungumzia DaVinci Code ama? Inabidi kuwa mwangalifu na haya mambo mpendwa kwa sababu program zingine ni propaganda za watu na zimelengwa kutimiza malengo maalum yaliyokusudiwa na sponsors. Always akili za kuambiwa changanya na zako.Waliniacha hoi walipoweka wazi kuwa alikuwa na mahusiano na Maria Magdalena na walizaa watoto watatu na hakufia msalabani na hakukufuka, hawa jamaa wanachimba sana aisee
upo poa lakiniMarahaba mamy
Mie nipo nimelala tuu
kwema mshkaji wangu madame s anaendeleaje jaman mpe pole na mfungoSafi Tu mshikaji wangu, kwema
hahahhah yan Baba D weweTuko hapa wapendanao kwa dhatii
hutaki biashara zakoSitak
Jangwani au?Pako poa kabisa
ndio mtoto wetu mshkaji wanguHuyo D ndio mtoto wenu si ndio
Msalimie Dtupoooo
shemela ebu endelea kunipa mengine ya janaIli aipitie picha yake![]()
![]()
![]()
zimefika mshkaji wangu msalimie sana madame sMsalimie D
Hongereni Sana,ndio mtoto wetu mshkaji wangu
Usimsumbue mfanyabiashara mwenzio. Kama vipi mtupie mzigo binamu. Hata awe nao wengi kama Mfalme Suleman ni sawa tu. Mi simo mkuu. Nisije nikapoteza uhuru wangu hapa Makapuku bure!Ngoja kwanza niongee nae nimpe mipaka
Ameen... ubarikiwe pia!Mungu awabariki sanq Ijumaa kareem
Hongereni Sana,

msukuma umemalizaUsimsumbue Mfanyabiashara mwenzio. Kama vipi mtupie mzigo binamu. Hata awe nao wengi kama Mfalme Suleman ni sawa tu. Mi simo mkuu. Nisije nikapoteza uhuru wangu hapa Makapuku bure!
Salamu zako zitafika mshikaji wanguzimefika mshkaji wangu msalimie sana madame s