Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
ooooh kumbeZa ukuwadi♂️
♂️
♂️
ooooh kumbeZa ukuwadi♂️
♂️
♂️
Safi Tu mshikaji wangu, kwemamshkaji wangu za wewe
Tuko hapa wapendanao kwa dhatiiBaba D na mama D
Pamoja sakayoSalama
mmh kwani ni wewe niliajua ni mama mchuchuNimewawishi muwe na maisha marefu, uka quote kwa kusema asante mama mchuchu![]()
![]()
![]()
nisamehe shemela wangu
Sitakooooh kumbe
Huyo D ndio mtoto wenu si ndioTuko hapa wapendanao kwa dhatii
Kama nakuonaaa![]()
![]()
![]()
nimecheka sana
mahusiano yapo ujue navumilia mengi sanaa itafikia kipindi moyo utashindwa Baba DSasa biashara na moyo kuna mahusiano kweliii??
ulifkili nimekuelewa basi nimejibu tu hivyo sijafunzwa kubishana na mume

masikini mke mwee mwambie nimerudi jamaan niliwamiss sanaYuko poa, jana hakuwa na raha kabisa, kisa hajakuona
tupooooBaba D na mama D
hapana Baba D waendelee tuMmmmmh plz mama D hapendiii
Pako poa kabisaHuku kwema kabisa. Sijui huko
nitafanyaje kaka nimemchagua mwenyeweMi nimefika Jana ndo nikapewa hayo majina
hahhahah utoke sababu me nimeingiaNililalaa tena ndo nikaamka ...
Ngoja nitokee
picha yanguJana binamu kaweka picha yako, sikumbuki page lakini, binamu anakupenda sana alikufagilia sana
hapana aisee sio mimi labda za kudownload