Makapuku Forum

Makapuku Forum

4c72b6a702f4c6f93ec8150734c1c786.jpg
Genius
 
Afu shemeji sio poa banaa
ASA unamtisha nani Shem kwanza huyo mchawi mi wa nn?!

Obe is just my friend nothing hapened so worry out
As usual ni utani tu babe. Nothing serious. Na utani ukizidi tunakanyana, yanakwisha na tunasonga mbele. Principle hii rahisi ndiyo inaifanya Makapuku iendelee kustawi. Kwingine kule ukiwa na bifu na mtu ni bifu kweli kweli japo hata hamjuani. Samahani kama nimekukwaza shemu. Sometimes I can be too much...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom