Makapuku Forum

1969 - Oliver Kahn anazaliwa.

Golikipa wa zamani wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Ujerumani.
Mmoja kati ya makipa bora kuwahi kutokea
Walimuita mikono saba lakini akafungwa goli mbili laini na Ronaldo de Lima mechi ya Fainali WC 2002...Brazil akabeba ndoo

Alikuwa na skendo kibao za kutembea na/kubaka vigori
.....
 
Mmoja kati ya makipa bora kuwahi kutokea
Walimuita mikono saba lakini akafungwa goli mbili laini na Rinaldo de Lima mechi ya Fainali WC 2002...Brazil akabeba ndoo
Alikuwa na skendo kibao za kutembea/kubaka vigori
.....
Pia alikuwepo langoni wakati Man Utd ikifanya come back ya kihistoria jioni ile ya Jumatano katika dimba la Nou Camp, katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya mwaka 1999.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…