Makapuku Forum

Makaburu huko Sauzi wakaanzisha Apartheid Policy na kutawala muda mrefu hadi pale Wasauzi walipokuja kushtuka wakati karibia nchi zote Afrika zilishapata Uhuru
.......
 
shemu unaogopa kuambiwa"gaddemuu"
Gaddemuu mbona cha mtoto? Makingereza magumu kama wakati ule tukisoma mkienda kushindana debate ili kuwashinda wapinzani wenu mnaanza kurusha maneno magumu ili wasiwaelewe hata kama nanyi pia hamuelewi.

Inabidi uwe na roho ngumu kama ya Le Mbururaz. Yeye hata umtukane vipi anakujibu kiutani tu...
 
Huwa Najitahidi saaana kukuelewa lakini hilo limeshindikana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…