Makapuku Forum

Makapuku Forum

db1a385983a58022bacf92e7ca2b5a70.jpg
 
Huku Uswaz kwetu tumelala giza km bundi jana na tumeamka gizani km kuku bandani na hadi sasa umeme haujarudi
Jovyo hata simu chaji imekata ila IPTL/Dowans nasikia hata umeme usipokiwepo wanalipwa tu mamilioni yao kila siku
.....
Uko niliko nini, hata kwetu toka Jana mchana mpaka leo ni ziiii... Wala hamna dalili
 
Wadau kwa wale waliokuwa wanajiuliza kuhusu JK kushtakiwa kwa aligoyafanya akiwa Waziri nafikiri Fundu Lissu kawafafanulia vizuri kwamba Wakati akiwa Waziri hakuwa na kinga ya urais hivyo hata sasa anaweza kushtakiwa kwa yote aliyoyafanya kabla hajaingia pale Magogoni hivyo hata Sizonje anaweza pia kushtakiwa kwa uuzwaji wa nyumba za serikali wakati akiwa Waziri

Niwatakie siku njema
...........
Asante, nawe pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom