eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Habari y'a kuamka hukuuu
KwemaaqHabari y'a kuamka hukuuu
NzuriHabari y'a kuamka hukuuu
Uko niliko nini, hata kwetu toka Jana mchana mpaka leo ni ziiii... Wala hamna daliliHuku Uswaz kwetu tumelala giza km bundi jana na tumeamka gizani km kuku bandani na hadi sasa umeme haujarudi
Jovyo hata simu chaji imekata ila IPTL/Dowans nasikia hata umeme usipokiwepo wanalipwa tu mamilioni yao kila siku
.....
Familia iko poa sana, nisijue kwakoFamilia haijambo
Nzuri T mke wa Shululu.... Hujambo wewe?Hbr ya asubuhi
Nzuri za kwakoHabari za asubuhi wapendwa wangu
Zangu nzuriii kabisaaaNzuri za kwako
Kumbe wajuaga vile nina mapenee mingiii na mama pedesheee cheupe hapana iko kuwa na taabu

Swalama kabisajaman swalama humu ,Napita tu mie wala sina madhara
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Asante, nawe piaWadau kwa wale waliokuwa wanajiuliza kuhusu JK kushtakiwa kwa aligoyafanya akiwa Waziri nafikiri Fundu Lissu kawafafanulia vizuri kwamba Wakati akiwa Waziri hakuwa na kinga ya urais hivyo hata sasa anaweza kushtakiwa kwa yote aliyoyafanya kabla hajaingia pale Magogoni hivyo hata Sizonje anaweza pia kushtakiwa kwa uuzwaji wa nyumba za serikali wakati akiwa Waziri
Niwatakie siku njema
...........
Mikataba mikataba, pia kumbuka tumepata uhuru 2015Huku Uswaz kwetu tumelala giza km bundi jana na tumeamka gizani km kuku bandani na hadi sasa umeme haujarudi
Jovyo hata simu chaji imekata ila IPTL/Dowans nasikia hata umeme usipokiwepo wanalipwa tu mamilioni yao kila siku
.....

Barikiwa sana shemeji