Makapuku Forum

Makapuku Forum

SPORTS

Matokeo ya mechi za kirafiki za kimataifa
b49a72889036fc8d8caa22dddb18f2ab.jpg
 
Wadau kwa wale waliokuwa wanajiuliza kuhusu JK kushtakiwa kwa aligoyafanya akiwa Waziri nafikiri Fundu Lissu kawafafanulia vizuri kwamba Wakati akiwa Waziri hakuwa na kinga ya urais hivyo hata sasa anaweza kushtakiwa kwa yote aliyoyafanya kabla hajaingia pale Magogoni hivyo hata Sizonje anaweza pia kushtakiwa kwa uuzwaji wa nyumba za serikali wakati akiwa Waziri

Niwatakie siku njema
...........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom