shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Nitaanzaje kwenda kwa mfanoNa akienda harudii huyuu
Nitaanzaje kwenda kwa mfanoNa akienda harudii huyuu
Umeacha na wakati binamu akija ataongea mambo ya vyeusi mangala![]()
![]()
![]()
jamaaan mama pedeshee mutu ya peremende mbona hivo
Mimi nshaacha
Nimshauriii usikute Dompo ndo kinywajii chake kikuuBaba D ili uvifanyaje
Bora utamani kujiteka Baba D kuliko utekwe na hao vyeusi mangalaYaaan mpaka nataman kujitekaa
Kwelii kabisa9/Indonesia![]()
![]()
![]()
Nchi hii pia ni ya barani Asia
Wana mgodi maarufu uitwao Grasberg ambao umeajiri watu zaidi ya 19,000.....ndio mgodi unaoaminika kuzalisha kiwango kikubwa cha sumu takribani Tani 1000 za Mekyuri angani kila mwaka
Indonesia huzalisha dhahabu Kg 100,00 kwa mwaka
......
Ya kwangu ndio Baba DHiyo ya kwako
Siongei kabisaUmeacha na wakati binamu akija ataongea mambo ya vyeusi mangala
Hahha Dompo si tunakunywaga siku moja mojaNimshauriii usikute Dompo ndo kinywajii chake kikuu

Napenda gold mimi9/Indonesia![]()
![]()
![]()
Nchi hii pia ni ya barani Asia
Wana mgodi maarufu uitwao Grasberg ambao umeajiri watu zaidi ya 19,000.....ndio mgodi unaoaminika kuzalisha kiwango kikubwa cha sumu takribani Tani 1000 za Mekyuri angani kila mwaka
Indonesia huzalisha dhahabu Kg 100,00 kwa mwaka
......
hapo nimesisimka
Mm wataanzia wapi alafu ngoja binamu ajee kwanzaBora utamani kujiteka Baba D kuliko utekwe na hao vyeusi mangala
Unafikiri sijuii??Ya kwangu ndio Baba D
Bora sisi moja mojaaHahha Dompo si tunakunywaga siku moja moja![]()
Si ndo maana ukawa na pedesheee mutu ya peremendeNapenda gold mimi![]()
hapo nimesisimka
Nimekumbuka mbali sana hiyo kichwa chini miguu juuNdo utajua kwa nini wanasema dunia inazunguka wakati hujawah kujikuta kichwa chini miguu juu
Ni wine tu, zamani na prisiner iceNaomba list ya vinywaji unavyotumia

TukumbushaneeNimekumbuka mbali sana hiyo kichwa chini miguu juu
Binamu jamaan ukuje hukuMm wataanzia wapi alafu ngoja binamu ajee kwanza
Rangi sasaHeineken ni beer nzuri sana shemela haina hangover kabisa yaan unywe utakavyokunywa asubuhi unaamka fresh acha tu niipende hiyo beer
