Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Hahaha anyonye tu D wangu hakuna namnaKwa raha zake
Hahaha anyonye tu D wangu hakuna namnaKwa raha zake
Kwa nini shemelaSitaki mimi shemela hizo habari mimi
Hahhah shemela ukisikia habari za cheusi mangala unafurahiHeeeeeheeeee
Thanks mkuu[End![]()
....
Huwa nafurahi sana, hasa Obe anavyokazia sasaHahhah shemela ukisikia habari za cheusi mangala unafurahi
Shemela shululu kuna kufaa huko[End![]()
....
Huwa nafurahi sana, hasa Obe anavyokazia sasa
binamu siku nitasusa nitamuachia na vyeusi mangala wake naona anapenda sana wawe na mjomba ake
That's trues na ni moja ya adaptation yao kuu sio sex tu bali uwasaidia sana kujikinga sana na predators make zile chemicals anazozalisha humfanya kuonekana kweli kafariki kumbe anajiepusha na mengi
SanaShemela shululu kuna kufaa huko
![]()
![]()
uwe hivi hivi Baba D sema binamu akija na biashara za vyeusi mangala tu huko mnakokuwa wote furaha yote inaisha

hivi tofauti na wine nini zaidi ingine au wine tu weweSana
Ni winehivi tofauti na wine nini zaidi ingine au wine tu wewe
tu
Mke mwee kwa nini we na mumeo ni wachochezi hivi jamaan
Ujaribishe na vingine shemela au unaogopaNi winetu
Nyongeza kidogo
Kama nini vile shemelaUjaribishe na vingine shemela au unaogopa
Kama whisky hivi namuonaga Baba D anakunywa captain morgan au hata beer shemela inaonekana hutaki shida we kinywaji chako laini tuKama nini vile shemela
WineKama whisky hivi namuonaga Baba D anakunywa captain morgan au hata beer shemela inaonekana hutaki shida we kinywaji chako laini tu
imeniathiri sana, beer
zilinishinda kabisa shemela
Captain MorganKama whisky hivi namuonaga Baba D anakunywa captain morgan au hata beer shemela inaonekana hutaki shida we kinywaji chako laini tu
