Makapuku Forum

Endelea kupambana kamanda. Hata kama ni kukuna nazi we kuna tu. Tena hawa wa kuoza hawa wakioza wanaoza kweli kweli. Ukifanikiwa kumbadilisha msimamo tu kwisha kazi. Usije ukasahau kuleta mrejesho [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa bagheshi unanipigia ndogo ndogo kwa dadaangu?..... Dadaangu huyo ujue... Mi namuheshimu sana. [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Hivi hilo jukwaa la 18+ lipo kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…