Makapuku Forum

Makapuku Forum

1987 - Diane Abbot, Paul Boateng na Bernie Grant wanakuwa wabunge wa kwanza weusi kuchaguliwa katika Bunge la Uingereza.
61ed146e5fd7808c00cbcba62d05ed6c.jpg
bd51ee07b64b6661183c1148cb5e7704.jpg

Walitokea Labour Party
......
 
Na tulivyo na imani za kishirikina km za "bwana yule"
Eti ajali ya Lucky Vincent utasikia wachawi na mvua hawapatani hivyo ni msimu wa makafara ya barabarani
Hata ajali ya basi kuteketea Butiama ni kafara la damu

.......
Imani za ushirikina ni janga la kitaifa na ni kipingamizi kikubwa cha maendeleo yetu. Kila kitu ni Ushirikina. Huku Koromije hata ukigongwa na treni watasema umechukuliwa msukule. Imagine vitoto vile vya Lucky Vincent. Badala ya kutafuta mbinu yakinifu na kuhakikisha kuwa ajali kama ile haijirudii tena (mf. kila mtoto awe na seat, mikanda ya lazima, ukaguzi...) sisi ni uchawi tu...
 
2010 - Mashindano ya Kombe la Dunia la kwanza kufanyika Barani Afrika, yanafanyika huko South Africa kwa ufunguzi baina ya Wenyeji Afrika ya Kusini dhidi ya Mexico.

Mechi hiyo iliisha 1-1. Ambapo Siphiwe Tshabalala alikuwa mchezaji wa kwanza kufunga goli katika michuano hiyo!!
dccf5ca58e0d32e3a5ec42891b35c07f.jpg
Point za kwenye msimamo siyo halisi
0db761f4a1902787b597f5949b736553.jpg

Sauzi iliambulia aibu baada ya kutolewa mapema
af9b185e6434585c1aecaed32c94a72b.jpg
83fed592e089a2a6f49bd047017e79bd.jpg

Mwisho wa siku Hispania akabeba ndoo kwa kumpiga Uholanzi 1:0 baada ya game kisha kwa sare tasa na kuongezwa dk 30 Iniesta alafanya yake
Nigel de Jong anakumbukwa kwa kumtandika mtu teke kifuani lakini hakuchezea umeme
........
 
Imani za ushirikina ni janga la kitaifa na ni kipingamizi kikubwa cha maendeleo yetu. Kila kitu ni Ushirikina. Huku Koromije hata ukigongwa na treni watasema umechukuliwa msukule. Imagine vitoto vile vya Lucky Vincent. Badala ya kutafuta mbinu yakinifu na kuhakikisha kuwa ajali kama ile haijirudii tena (mf. kila mtoto awe na seat, mikanda ya lazima, ukaguzi...) sisi ni uchawi tu...
Ulifanyika tu ukaguzi wa School buses siku mbili tatu
Now Maziwa yanaendelea km kawa na tumeshasahau
Tunasubiri siku litokee janga kingine la kafara la damu

.......
 
dccf5ca58e0d32e3a5ec42891b35c07f.jpg
Point za kwenye msimamo siyo halisi
0db761f4a1902787b597f5949b736553.jpg

Sauzi iliambulia aibu baada ya kutolewa mapema
af9b185e6434585c1aecaed32c94a72b.jpg
83fed592e089a2a6f49bd047017e79bd.jpg

Mwisho wa siku Hispania akabeba ndoo kwa kumpiga Uholanzi 1:0 baada ya game kisha kwa sare tasa na kuongezwa dk 30 Iniesta alafanya yake
Nigel de Jong anakumbukwa kwa kumtandika mtu teke kifuani lakini hakuchezea umeme
........
Refa alikuwa Howard Webb wakati De Jong akiruka Kung Fu style kifuani kwa Alonso.

Ushindi wa Spain, ukaifanya timu ya kwanza kutoka barani Ulaya kutwaa Kombe la Dunia nje ya bara la Ulaya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom