Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG-20170611-WA0009.jpg
BURUDANI NA MICHEZO
 
Kumbe ulifikiri ni rahisirahisi tu
Kuandika mada kunahitaji utulivu kinoma

Mimi nilianza kibashitebashite nikaja kugundua yafuatayo now naandika kwa kujiamini
*Kusoma net/kitabu
*kuchambua ulichosoma mfano mtu unasoma maneno 100 lakini unaandika 20 tu
*kuwa na maarifa na unachokiandika maana mtu unaweza kupigwa swali inakuwa noma

Mdau nasubiri falsafa zako next week kwa hamu

........
Mwanzo mgumu ila baadae atakuwa mkali km wewee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom