Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG-20170611-WA0009.jpg
BURUDANI NA MICHEZO
 
Kumbe ulifikiri ni rahisirahisi tu
Kuandika mada kunahitaji utulivu kinoma

Mimi nilianza kibashitebashite nikaja kugundua yafuatayo now naandika kwa kujiamini
*Kusoma net/kitabu
*kuchambua ulichosoma mfano mtu unasoma maneno 100 lakini unaandika 20 tu
*kuwa na maarifa na unachokiandika maana mtu unaweza kupigwa swali inakuwa noma

Mdau nasubiri falsafa zako next week kwa hamu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
........
Mwanzo mgumu ila baadae atakuwa mkali km wewee
 
Back
Top Bottom