Makapuku Forum

Makapuku Forum

1e2773a9722f62f0c950820c014a8128.jpg
 
Ukistaajabu ya Okwi na Thimbwa ......utayaona ya Ngassa na Vyura Fc
Bongo tunachoweza ni siasa na pengine sex tu mpira hatuuwezi ndio maana Stars inanyanyaswa hata na Lesotho...afadhali Wakenya wanajulikana kwa riadha
Sisi burudani ndo kidogo tunaweza mfano Big Brother Africa na muziki
Tuwekeze kwenye siasa zetu za porojo michezo siyo fani yetu
......
Kweliii mkuu
 
1962 - Wafungwa Frank Morris, na ndugu wawili Clarence na John Anglin wanakuwa wafungwa pekee kufanikiwa kutoroka katika Gereza la kisiwa la Alcatraz huko Marekani.

Gereza la Alcatraz lipo kisiwani na limezungukwa na maji yenye baridi kali na kina kirefu sana lakini Wafungwa hawa walifanikiwa kutoroka na hawakuwahi kuonekana tena.

Licha ya msako mkali wa kwenye maji, ardhini na anga wafungwa hawa hawakuwahi kupatikana tena, licha ya tetesi kudai walifanikiwa kutoroka na kwenda Brazil ila kuna wengine wanaamini wafungwa hao walikufa kutokana na baridi kali ya maji japo hakuna maiti iliyowahi kupatikana.
Ukifika hapo panatisha na hao jamaa ni ngangari kuweza kutoroka. Wengi wanaamini kwamba walikumbwa na mkondo wa maji wakamezwa na kwenda kutupwa bahari kuu kuwa chakula cha papa...
 
Leo katika Historia:

1937 - Great Purge: Soviet Union chini ya Kiongozi wake Joseph Stalin wananyonga Wanajeshi 8 ambao walikuwa ni viongozi ndani ya Jeshi la Nchi hiyo!
6bc3ef93c12fca471d6d5262e31dbd33.jpg
3752dd58d472a68d4ad139ac57cc6099.jpg

Anajulikana pia kama Great Terror ilihusisha kuwashughulikia "wakorofi" wote kama vile Wakomunisti,Viongozi wa kisiasa na wana jeshi(Red Army)
Ilivuma huko USSR karne ya 19
.......
 
2010 - Mashindano ya Kombe la Dunia la kwanza kufanyika Barani Afrika, yanafanyika huko South Africa kwa ufunguzi baina ya Wenyeji Afrika ya Kusini dhidi ya Mexico.

Mechi hiyo iliisha 1-1. Ambapo Siphiwe Tshabalala alikuwa mchezaji wa kwanza kufunga goli katika michuano hiyo!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom