Makapuku Forum

Makapuku Forum

1e2773a9722f62f0c950820c014a8128.jpg
 
Simba Sc wanachekesha sana, Okwi wa nini sasa? Badala ya kujikita kutafuta damu mpya wao wamekariri maisha na Okwi wao.

Anyway, asante kwa Magazeti Mkuu!
Ukistaajabu ya Okwi na Thimbwa ......utayaona ya Ngassa na Vyura Fc
Bongo tunachoweza ni siasa na pengine sex tu mpira hatuuwezi ndio maana Stars inanyanyaswa hata na Lesotho...afadhali Wakenya wanajulikana kwa riadha
Sisi burudani ndo kidogo tunaweza mfano Big Brother Africa na muziki
Tuwekeze kwenye siasa zetu za porojo michezo siyo fani yetu
......
 
1955 - Watazamaji 83 wa mbio za za magari wanafariki Dunia huku 100 wakijeruhiwa baada ya magari mawili kugongana katika mashindano ya 24 hours of Le Mans.

Inakuwa ni ajali iliyoua watazamaji wengi katika historia ya mashindano ya magari.
RIP watazamaji wa mbio za magari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom