shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
yupo njiani anakuja shemela naomba Mungu amlete wa kike
Hapo tu shemela wangu napokupendeayupo njiani anakuja shemela naomba Mungu amlete wa kike
Hapo tu shemela wangu napokupendea
ndio yeyeHuyo ndiye D mwenyewe?
Kuna mtu atacheka sana humu
nakupenda pia shemela wangu![]()
Hapo tu shemela wangu napokupendea
Anafanana na nanindio yeye
nani huyo shemelaKuna mtu atacheka sana humu
Mbavu mbili ndiyo nini? Misemo hii iko localized na usi-assume kuwa kila mtu anaijua...Huyo mbavu mbili ndo wewe?
![]()
....
Nigawie miee![]()
![]()
nakugawaa
Aisee, sisi binadamu sisi1962 - Wafungwa Frank Morris, na ndugu wawili Clarence na John Anglin wanakuwa wafungwa pekee kufanikiwa kutoroka katika Gereza la kisiwa la Alcatraz huko Marekani.
Gereza la Alcatraz lipo kisiwani na limezungukwa na maji yenye baridi kali na kina kirefu sana lakini Wafungwa hawa walifanikiwa kutoroka na hawakuwahi kuonekana tena.
Licha ya msako mkali wa kwenye maji, ardhini na anga wafungwa hawa hawakuwahi kupatikana tena, licha ya tetesi kudai walifanikiwa kutoroka na kwenda Brazil ila kuna wengine wanaamini wafungwa hao walikufa kutokana na baridi kali ya maji japo hakuna maiti iliyowahi kupatikana.
Nilijua tujamaan![]()
![]()
![]()
![]()
Wewe huyo huyonani huyo shemela
Pole pole shemeji. Ugawiwe nini tena jamani? Kaa mbali na makuwadi please! Msubiri Shedede wako...Nigawie miee
Kabisaa yanAnastahili mdogo wake
ndio ananyonya![]()
miaka miwili bado ananyonya!!!!
anaenda kwa tumosa wakeNigawie miee
hivi ulimaanisha ni mimi shemelaNilijua tu
