Makapuku Forum

Makapuku Forum

60b8d4d6934c1b33a092c937a496d78a.jpg
Kuna mtu atacheka sana humu
 
1962 - Wafungwa Frank Morris, na ndugu wawili Clarence na John Anglin wanakuwa wafungwa pekee kufanikiwa kutoroka katika Gereza la kisiwa la Alcatraz huko Marekani.

Gereza la Alcatraz lipo kisiwani na limezungukwa na maji yenye baridi kali na kina kirefu sana lakini Wafungwa hawa walifanikiwa kutoroka na hawakuwahi kuonekana tena.

Licha ya msako mkali wa kwenye maji, ardhini na anga wafungwa hawa hawakuwahi kupatikana tena, licha ya tetesi kudai walifanikiwa kutoroka na kwenda Brazil ila kuna wengine wanaamini wafungwa hao walikufa kutokana na baridi kali ya maji japo hakuna maiti iliyowahi kupatikana.
 
1962 - Wafungwa Frank Morris, na ndugu wawili Clarence na John Anglin wanakuwa wafungwa pekee kufanikiwa kutoroka katika Gereza la kisiwa la Alcatraz huko Marekani.

Gereza la Alcatraz lipo kisiwani na limezungukwa na maji yenye baridi kali na kina kirefu sana lakini Wafungwa hawa walifanikiwa kutoroka na hawakuwahi kuonekana tena.

Licha ya msako mkali wa kwenye maji, ardhini na anga wafungwa hawa hawakuwahi kupatikana tena, licha ya tetesi kudai walifanikiwa kutoroka na kwenda Brazil ila kuna wengine wanaamini wafungwa hao walikufa kutokana na baridi kali ya maji japo hakuna maiti iliyowahi kupatikana.
Aisee, sisi binadamu sisi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom