Makapuku Forum

Makapuku Forum

2012 - George Saitoti anafariki Dunia baada ya helikopta aliyopanda kudondoka huko Kenya.

Alikuwa ni Waziri wa mambo ya ndani na Makamu wa Rais wa Kenya.

Wengi wanashuku ajali hiyo ilipangwa kama ambavyo mwandishi mashuhuri wa KTN Mohamed Ali aliwahi kufanya uchunguzi wake kupitia kipindi cha Jicho Pevu.

Aliuwawa akiwa katika harakati za kuwataja wauza unga nchini Kenya.
 
Leo Katika Historia:

1940 - Marcus Garvey anafariki Dunia.

Alikuwa ni mwandishi wa habari na mwanaharakati wa haki za watu weusi kutoka nchini Jamaica.
9591ef2d99dfa3dc7dd1d19d02495384.jpg
b931d12c0af9069b27b691e4701576af.jpg
3807df9eae3ecd803c7607b09a13d557.jpg
 
Muziki: Tufurahi na Weekend

Muda mwingine tena Makapuku, na kama kawaida segement hii hukujia mara tu baada ya top 10 za Bitoz. Najua kabisa Ijumaa inaenda vizuri na sasa unajirejesha nyumbani au upo tayari ukijipanga nini ufanye weekend hii. Napenda ufahamu tu kuwa hakuna jambo zuri na lenye afya kama kutumia weekend ukiwa na familia. Kwa sasa niko bar yaani kama padri kanisani au shehe msikitini, hatutofautiani mimi, wewe na wao.

Furahiday sio ya maneno mengi sana, nikija kwako na maneno mengi jua kuwa nataka kukupiga mzinga/mkopo, kitu ambacho si kibaya.

Leo tuangalie reggae kidogo, ni kukumbushana tu mana muziki huu unaujua hata kabla siajuelezea. Hapo tayari ushafikira kina Bob Marley na wenzake, ushaangalia picha yangu na mawazo yako yashakupeleka kwenye kuhusisha reggae na bange. Pole sana.

Tunaangalia reggae laini 'riddim au rhythm' na tunamkuta jamaa anaitwa Eric Donaldson. Huyu ndiye mwimbaji wa kwanza kabisa wa wimbo uliowapa umaarufu UB40 Cherry oh Baby. na kwao Jamaica ana sifa zake nzuri tu zinazomfanya awe kati ya wanamuziki wenye kueleweka na jamii kubwa.

Mimi reggae sio kivile sana huku unavuta jani, yes, kuna tofauti kubwa sana kati ya jani na cocaine, ya pili haijawahi kumwacha mtu salama.

Kupunguza maneno nakuwekea vibao vyote kwa pamoja.na nimezitoa YouTube

Tuwe na weekend njema



Na hapa ni Eric akifanya yake (hii ni video mfu)

Hakuna kutoka jasho
 
2012 - George Saitoti anafariki Dunia baada ya helikopta aliyopanda kudondoka huko Kenya.

Alikuwa ni Waziri wa mambo ya ndani na Makamu wa Rais wa Kenya.

Wengi wanashuku ajali hiyo ilipangwa kama ambavyo mwandishi mashuhuri wa KTN Mohamed Ali aliwahi kufanya uchunguzi wake kupitia kipindi cha Jicho Pevu.

Aliuwawa akiwa katika harakati za kuwataja wauza unga nchini Kenya.
f3dafb9af6b6bb16539fcd27e306964f.jpg
f27cfaa84c59bed4e546c9e225fe8d20.jpg
fffb73f0dd8194ad980e3fd11780c3ec.jpg

Huyo ndo mfano mojawapo nzuri wa mapambano dhidi ya madawa ya kule vya yalivyo vita ngumu kiasi cha kugharimu ihai
Huku kwetu tuna kijana mmoja msaka kiki na mkurupukaji aitwaye Bashite ambaye hujifanya Waziri Kivuli wa kila Wizara
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom