Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,246
2012 - George Saitoti anafariki Dunia baada ya helikopta aliyopanda kudondoka huko Kenya.
Alikuwa ni Waziri wa mambo ya ndani na Makamu wa Rais wa Kenya.
Wengi wanashuku ajali hiyo ilipangwa kama ambavyo mwandishi mashuhuri wa KTN Mohamed Ali aliwahi kufanya uchunguzi wake kupitia kipindi cha Jicho Pevu.
Aliuwawa akiwa katika harakati za kuwataja wauza unga nchini Kenya.
Alikuwa ni Waziri wa mambo ya ndani na Makamu wa Rais wa Kenya.
Wengi wanashuku ajali hiyo ilipangwa kama ambavyo mwandishi mashuhuri wa KTN Mohamed Ali aliwahi kufanya uchunguzi wake kupitia kipindi cha Jicho Pevu.
Aliuwawa akiwa katika harakati za kuwataja wauza unga nchini Kenya.
