Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
MorningMorning fam
MorningMorning fam
Asante bhinamuuKumekucha wadau, asante shululu , lee empire kwa magazeti na UF, asante BlessedHope kwa sala.
Wote tuliotukana, kutukanana na kukerekwa bila kukeketwa poleni na hongereni sana.
Tuwe na wakati mzuri
Asante bhinamuu
Hope niliko kuacha ulitoka swalama
Ana bahati iliyoje
Sikiwa najua hili
Shukrani siku njema.Wakuu tuwe na siku njema....
Japoo![]()
Sasa umeijua komrediSikiwa najua hili
Shukrani mzeeView attachment 521882Kwa udhamini mnono wa mzeewakungoa sina la ziada kutoka magazetini Tukutane tena kesho Nawatakieni wote siku njema
Vizuri kusikia hivo....japo najua una uchovu uliochanganyikiwa na mawazo kuona utafikaje tar muhimu lakin anyway yote mipango ya Mora ....Usalama ulikuwa mkubwa sana yaani nilikuwa kama Anelka nahama hama tu kwa mafanikio makubwa hata kama siheshimiwe kivile.
Vipi wewe, naona ,mliamua kuondoka pale wimbo wa kujikinga na maambukizi ya VVU umefika kwenye korasi '''eehe tulia na mmoja...lal alalala lal a laaa'.
Wallet yako niliiacha kwa Cheusi , sikutaka yakukute yaliyonikuta wiki juzi
Pamoja sana komrediShukrani siku njema.
Ahsante pia mkuuAsante mkuu
Vizuri kusikia hivo....japo najua una uchovu uliochanganyikiwa na mawazo kuona utafikaje tar muhimu lakin anyway yote mipango ya Mora ....
Dj alikuwa na makusudi yake na nina mashaka na wewe nahs ulivyompa ile balimi ulimwambia kitu ....mbona pale aliparudia sana ???
ujue ndo natambua kutokuwepo kwa wallet now ....ndo maana mda mwingine nakupaga shkamoo....japo je kuna chochote??
Bhinamu wewe ulitufanyia maksudi make jana asha muuza vitumbua alikutosa na wewe ukachukulia advantage kujuana na dj kipara ukaone ankali namjua moyo wakeHa hahahhaha, DJ mjinga sana, anapiga nyimbo za VVU bar! hajui watu tumefunga?
Wallet kusema kweli nami nilipewa tu na Cheusi, na alionekana anatabasamu sana eti nikutunzie kitambulisho cha kupigia kura na leseni. Tabasamu lake kwa kweli lilikuwa na mashaka sana hasa alipomuona Kidawa mkorogo unamsindikiza. Anyway ya wewe kuondoka na nani utajijua, wallet ndo ninayo, sijaikagua kabisa labda cheki na cheusi
Exactly