Makapuku Forum

Makapuku Forum

1921 - Prince Philip anazaliwa.

Ni mume wa Malkia Elizabeth wa II wa Uingereza.
9c43cac912e0a9a8a156e21687baf345.jpg
493f3aed16df75f7dfd1e7ec076af7e8.jpg
93947fa511b22a2ae5486dd815f50f2c.jpg

Wamejaaliwa watoto wanne akiwemo Prince Charles Duke of Wakes aliyekuja kumuoa Princess Diana
.......
 
1969 - Ronny Johnsen anazaliwa.

Beki wa zamani wa Norway na Man Utd.

Alikuwa ni sehemu ya kikosi kilichotwaa klabu bingwa ulaya mwaka 1999 akicheza pambano lote la fainali dhidi ya Bayern Munich pale Nou Camp
d9454770febf8ab6aaede1c3ae3c80ef.jpg
464a84d15210bced5953534fd82f28de.jpg
3c4966eddd062d8fb659e79f4e327870.jpg

Kipindi cha pili waliingia Teddy Sheringham na Ole Gunnar Solskjaer(Super sub) kuchukua nafasi za akina Cole & Yorke na kuwaliza Bayern dk za majeruhi ambao waliongoza kwa goli 1 muda mrefu na pia kugongesha mwamba langoni mwa Man Utd mara mbili
Tangu hapo ikawa maarufu Extra Time kuitwa dk za Ferguson
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom