Makapuku Forum

Pole ya nini mpotezee huyo hawezi kuja na mikwara ya kitoto kutaka sifa kwa wana makapuku.

Hajui kwamba uamuzi ni wako Kukataa au kukubali?
Nimkubali mara ya ngapi...

Nilikuona mstaarabu saaana kumbe ilikuwa gia tuu..

Tuliyamaliza muda sanaaa, halafu wanaume kugombana na kupeana mipasho sio mpango!!!!

Kawaida ya Wanaume ni kukubaliana tuu, mipasho waachie wanawake tena wenye akili finyu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…