Makapuku Forum

Binadamu ana figo mbili,mapafu mawili ila ana ini moja tu
Kazi rasmi ya ini ni Kubreak protein
Yaani ni an enzyme
Ila kibongobongo kila kitu tunachokula kina sumu nafikiri ini ndo linalosaidia pia kuua sumu km ilivyo kwa figo ambazo huchuja majitaka(mkono)
Magonjwa ya ini ni hatari maana likiharibika tu ni balaa japo huweza "kupandikizwa"
Kwahiyo ukiharibu ini utazidiwa na sumu sijui zaidi na kila utakapokula ndo unazidi kuliharibu zaidi na huwezi kamwe kuishi bila kula
Kifo kitakuita
NB:
Sikumbuki vizuri Biology
...,......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…