Makapuku Forum

Mkuu bahati ya mwezio haitakiwi kulaliwa mlango wazi. We nadhani atakuwa alianza kukufanyia "screen shot" tena pengine kuanzia kwenye profile pic yako. Ina ukakasi mkubwa sana.


Lo! Picha yangu ina ukakasi? Utamu wa stoneytangawizi ni kupiga chafya. Sasa pic yangu haina ukakasi inategemea tu, btw, ukakasi unapatikana kwenye nini, ni picha yenyewe au maneno, au rangi au hiyo dawa ya sikio?
 
Asante Bitoz
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…