Kazi ya muumbaji hiyo7/Emperor Pengine
Kwa madume wana uwezo mkubwa wa kuhifadhi nishati kupitia mafuta yaliyopo mwilini kuliko majike ...hii ni Metabolism na hupoteza karibia nusu ya uzito wake
Wana jeuri ya kukaa bila kula kwa siku 120
........
katuni basiNzuriii mkuu
kwa kweliKazi ya muumbaji hiyo
Unasusa habari za binamusitaki hizo habari binamu baki nazo tu
Ha ha ha ha upuuzi wangu upi tenaa au umemisupuuzi wako huo ndo tatizo
Acha nacheka sanashemela shululu umesikia
Anamjua sanaSakayo mwenyewe unamjua mke mwee
Sijambo maa alhamdulillah ramadhani yayoyoma hivooasante mamy nimeshapoa unaendeleaje pole na mfungo
Mambo niajehabari za usiku familia
Shemela shunie hataki nijue unapoishiHapana
Hujaamua tu kunitafuta shem
ule upuuzi wa leeHa ha ha ha upuuzi wangu upi tenaa au umemis
Ha ha ha ha noted mkuuRambirambi napokea mm
Tuko poa na karibu
Kuna muda inakuwa hivo, nahisi ni networkIla mbona ka replay zinajirudiaa au mawenge zangu ...nalike juu chin nakuta tena
yani mwaka 1 na miezi 4 si mchezo5/Vyura
Nawazungumzia vyura haswa sio wale wapinzani wa Simba
Chura huweza pia kupumua kwa kutumia ngozi...hii ndo hali pekee inayomwezesha kuwa na jeuri ya kumpa oxygen hivyo kukaa pia bila kula
Pia carbondioxide na maji huweza kupita kwenye ngozi
Ukimuona chura anakufa kipindi cha kiangazi ni mzembe tu !!!
Anaweza kukaa bila kula kwa miezi 16
.....
safi mzeeMambo niaje
Aisee, nilijua chura atakuwa no 15/Vyura
Nawazungumzia vyura haswa sio wale wapinzani wa Simba
Chura huweza pia kupumua kwa kutumia ngozi...hii ndo hali pekee inayomwezesha kuwa na jeuri ya kumpa oxygen hivyo kukaa pia bila kula
Pia carbondioxide na maji huweza kupita kwenye ngozi
Ukimuona chura anakufa kipindi cha kiangazi ni mzembe tu !!!
Anaweza kukaa bila kula kwa miezi 16
.....
Nzuri kabisa, vip pande hizosafi mzee
habari za siku
Kifaa gan tena hcho mke mweeetumosa