Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Kumbeee ??hatutoi kikiiiii umetoka kwenye uzi wa kuponda makapuku umekuja huku
Kumbeee ??hatutoi kikiiiii umetoka kwenye uzi wa kuponda makapuku umekuja huku
makapuku hawajaribiwi!kama kweli nyie ni makapuku hebu weka like kwenye comment hii.
kila atakaye like nitamzawqdia like za kutosha hata akikohoa tu.
ulikua unanipima nini tenaWatuachieee toto letuu
Kwanza ntaanziaa wapi kukuachaaa
Mm nilikuwa nakupima tu
Nakosa nn kwa mfano kwakoo mama
Baby u know ulipo nipooo
Vyemaaa ...Kwakweli namshukuru Allah niko salama kabisaaaa
tantee205 k
Ongeraaaaa![]()
![]()
![]()

![]()
![]()
![]()
![]()
Na wengi mnataka ivunjikeee
Kwa taarifa yenu kesho tunaenda honey moon to the moon tena kunogeshaaa

Ulikuwa "upuuzi wa lee"ulikua unanipima nini tena
asante shemelaHongera kwa 205K
Asante Bitoz kwa picha![]()
![]()
![]()
.
.
.
.
.
Ngoja niendelee kuchunga mbuzi
Tukutane baadaye
Niwatakie siku njema
.......
Nadanganyaa ??
hahahahWarabu wa pemba wanajuana kwa vilemba
asante mama mchuchu wa mukongoMarahaba za uzima mpendwa wangu ubarikiwe
kwema sana za kwakoKwema humu?
si ni kweli mama mchuchuHahahaha

tumosaKifaa cha ukweli hicho
Tunaiombea heri na baraka na yenye maisha marefu
shemela najuaga upo upande wangu sana