Makapuku Forum

Makapuku Forum

f7eac0f0dbb71fa4324e1a26fef9d53b.jpg
Yanga juuuu
 
Vituko shule za kayumba!!!
TICHA:Ok class,if i say small,you say small,smaller,smallest,
TICHA: small
CLASS: small,smaller,smallest.
TICHA: big
CLASS: big,bigger,biggest.
TICHA(smiled): thats good.
CLASS: thats good,thats gooder,thats goodiest.
TICHA: ok.
CLASS:Ok,okier,okiest.
TICHA: no.
CLASS: no,noer,noest.
TICHA: stop.
CLASS: stop,stopper,stoppest.
TICHA: Yesu wangu.
CLASS:Yesu wangu,Yesu wanger,Yesu wangest.!!!

.................
 
Mkuu wacha tu maisha yabane ili tupate akili ya kusurvive...unajua hela iliingia kwenye mzunguko kiholela hadi watu wakabweteka na kimsingi zilizokuwa zinaingia ni hizi za kifisadi sasa ile mirija imezibwa ndo maana tunaona kama maisha yammekuwa magumu...

Samahani kidogo kama nikukumbushe kitu, Baba wa Taifa Mwalimu J. K. Nyerere alikuja na Ideology yake ya Ujamaa ambayo tunajua haikufanikiwa kama alivyokusudia,ila si lengo langu kulizungumzia kwa sasa kwa kuwa kila zama ina kitabu chake alikuja Mzee Mwinyi na transformation yake ya Ujamaa kwenda ubepari kwa kuruhusu kila kitu....Hapa ndipo nadhani tulikosea kwa kuwa kama tungekubali kuumia kidogo wakati ule wa uhaba wa bidhaa tungefufua viwanda vyetu tungezalisha kwa kuwa malighafi tulikuwa nayo, na leo hii tungekuwa na surplus ambayo tungewauzia nchi nyingine na kujiingizia fedha za kigeni! Shida ni kipimo cha akili!
Yes mkuu.
Mwalimu Nyerere alisema kwamba

Tumefanya kosa kubwa kuchagua pesa tukiamini kama ndio msingi Wa maendeleo.
Kumbe tulikuw/tunakosea tunakosea.

Ngoja tufanye kazi sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom